Baadae ya mechi kumalizika niliona wachezaji wa kigeni wa Simba wakikumbatiana na wachezaji wa To Mazembe, wakiongea na kubadilishana mawazo.
Ila kiukweli sikumuona Kokolanya, Duchu, Shabalala, Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwengu, au issue ni lugha?
Ila kiukweli sikumuona Kokolanya, Duchu, Shabalala, Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwengu, au issue ni lugha?