Nichoke kucheza mpira nichoke na kuongea? Tusichoshane.Baadae ya mechi kumalizika niliona wachezaji wa kigeni wa Simba wakikumbatiana na wachezaji wa To Mazembe, wakiongea na kubadilishana mawazo, Ila kiukweli ckumuona Kokolanya,Duchu,Shabalala,Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwrngu, au issue no lugha
Andika vizuri basi, papara ya nini?Baadae ya mechi kumalizika niliona wachezaji wa kigeni wa Simba wakikumbatiana na wachezaji wa To Mazembe, wakiongea na kubadilishana mawazo, Ila kiukweli ckumuona Kokolanya,Duchu,Shabalala,Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwrngu, au issue no lugha
ExposureBaadae ya mechi kumalizika niliona wachezaji wa kigeni wa Simba wakikumbatiana na wachezaji wa To Mazembe, wakiongea na kubadilishana mawazo.
Ila kiukweli sikumuona Kokolanya, Duchu, Shabalala, Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwengu, au issue ni lugha?
Ulitaka akina mazamiru, shabalala, Migomba na wengine wawakumbatie na kubadilishana mawazo na wachezaji wa TP Mazembe kwa Kilugulu!!!???Baadae ya mechi kumalizika niliona wachezaji wa kigeni wa Simba wakikumbatiana na wachezaji wa To Mazembe, wakiongea na kubadilishana mawazo.
Ila kiukweli sikumuona Kokolanya, Duchu, Shabalala, Sheva, Mzamiru, hata Migomba wakisalimiana na wageni, so wangrenda hata kuchati na ulimwengu, au issue ni lugha?