Mtaka Haki
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 492
- 149
Tulikuwa kwenye ndege ya Precission nikiwa na rafiki yangu. Tukawa tumekaa jirani na waziri mmoja mwadilifu wa serikali ya JK. Tukaamua kuanzisha mazungumzo ya ufisadi na kumweleza waziri kwa ukweli jinsi tulivyokatishwa tamaa. Tukamweleza kuwa ukweli namna serikali yenu ilivyoshughulikia Ufisadi basi mwaka huu sidhani kama tutaweza kwenda kinyume na dhamira zetu na kuwapeni kura.
Yule waziri alisogea karibu na masikio yetu na kusema. Ukweli hata sisi wengine tunasikitishwa mno na aina ya uongozi wetu usivyokuwa serious.
Akalalamikia masuala ya ushirikina kupewa kipaumbele sana katika uongozi na hata kuzingatiwa ushauri wa kishirikina kuliko wa kitaalamu, hatimaye akasema hata sisi tunambeba tu sio kwamba tunaona kama ana uwezo huo. Ila kwenye siasa lazima tufanye hivyo la sivyo tutapoteza chakula cha watoto wetu.
SUALA LA UKABILA NA UDINI LINALOENDELEZWA NI MBINU CHAFU YA KUONYESHA NI KWA NINI MTU ANASHINDWA. VISINGIZIO VINATENGENEZWA KUWA NI IONGOZI WA DINI WANATAKA KUUANGUSHA UTAWALA ULIOKO
Mbinu hizi chafu za udini na ukabila hata hapa kwenye thread zinatumika. HUKU NI KUFILISIKA KWA HALI YA JUU.
MTU HAUKUMIWI KWA DINI YAKE AU KABILA LAKE BALI KWA UWEZO WAKE.
MAKAMBA ALIPOKUWA MOSHI ALIWAONYA VIONGOZI WA DINI. SABABU KUBWA YA VIONGOZI WA DINI KUONEKANA KUWA KINYUME MWAKA HUU NI KULE KUWA WAZI " CALLING A SPOON "SPOON" AND A SPADE " SPADE"
VIONGOZI WA DINI WAMEENDELEA KUSEMA HATUUNGI MKONO VYAMA TUNAUNGA MKONO MTU.
HUU NI MWAKA AMBAO VYAMA DINI, MAKABILA HAYANA NAFASI. NI MTU MWENYE UWEZO.
Ninasikitika mawaziri hao na wabunge ambao wameshindwa kuwa kama Mpenda Zoe.
NAOMBA WATU WALIO KARIBU NA JK WAMTIE MOYO KUWA ITS OK KUSHINDWA. DONT TAKE IT PERSONAL.
Yule waziri alisogea karibu na masikio yetu na kusema. Ukweli hata sisi wengine tunasikitishwa mno na aina ya uongozi wetu usivyokuwa serious.
Akalalamikia masuala ya ushirikina kupewa kipaumbele sana katika uongozi na hata kuzingatiwa ushauri wa kishirikina kuliko wa kitaalamu, hatimaye akasema hata sisi tunambeba tu sio kwamba tunaona kama ana uwezo huo. Ila kwenye siasa lazima tufanye hivyo la sivyo tutapoteza chakula cha watoto wetu.
SUALA LA UKABILA NA UDINI LINALOENDELEZWA NI MBINU CHAFU YA KUONYESHA NI KWA NINI MTU ANASHINDWA. VISINGIZIO VINATENGENEZWA KUWA NI IONGOZI WA DINI WANATAKA KUUANGUSHA UTAWALA ULIOKO
Mbinu hizi chafu za udini na ukabila hata hapa kwenye thread zinatumika. HUKU NI KUFILISIKA KWA HALI YA JUU.
MTU HAUKUMIWI KWA DINI YAKE AU KABILA LAKE BALI KWA UWEZO WAKE.
MAKAMBA ALIPOKUWA MOSHI ALIWAONYA VIONGOZI WA DINI. SABABU KUBWA YA VIONGOZI WA DINI KUONEKANA KUWA KINYUME MWAKA HUU NI KULE KUWA WAZI " CALLING A SPOON "SPOON" AND A SPADE " SPADE"
VIONGOZI WA DINI WAMEENDELEA KUSEMA HATUUNGI MKONO VYAMA TUNAUNGA MKONO MTU.
HUU NI MWAKA AMBAO VYAMA DINI, MAKABILA HAYANA NAFASI. NI MTU MWENYE UWEZO.
Ninasikitika mawaziri hao na wabunge ambao wameshindwa kuwa kama Mpenda Zoe.
NAOMBA WATU WALIO KARIBU NA JK WAMTIE MOYO KUWA ITS OK KUSHINDWA. DONT TAKE IT PERSONAL.