Baadhi Wakenya wa Mombasa, jameni acheni ukaidi, mtanasa kwenye siasa za Tanzania kichwa kichwa

Kilimanjaro irudi kwetu kwanza ndio tuongee mengine...hehehehe!! Na hata Mombasa ikituacha labda apewe Sultani wa Zanzibar sio kumkabidhi Msukuma, na huyo Sultani lazima aje atuambie hii Afrika kabla hajaja ina maana hakuwakuta watu....
Ukinyoosha mpaka kilimanjaro itakuwaje kwenu wakati ipo chini?
 
nyie watu wa kunya mbona mnashobokea sana TZ yetu
 
nyie watu wa kunya mbona mnashobokea sana TZ yetu

Maana mnatuponza na kutuweka hatarini, muambukizane huko huko na kuzikana ila sasa Mombasa yetu namba zinapandisha sana hadi tunaishuku Tanga....
 
Muache kurukaruka huko na huko mkifuata upepo kama Nzige.

Tulizeni vichwa vyenu jaribuni kufikiri tatizo liko wapi na then m-propose solution yenye kukidhi mazingira ya Kenya...
Nimeona baadhi ya Wakenya wa Mombasa wakitishia kugoma kupimwa Corona na kutolea mifano ya Tanzania ambako matikiti maji, mapaipai n.k. zinapmwa na kukutwa na Corona.
 
We endelea kufukia kichwa chako kwenye mchanga,mabwana zenu licha ya kupima sana lakini mavirusi ndo yanazidi kuwasha moto

Bichwa maji tu ndo huweza kuiga mbinu za watu waliofeli
 

Umenena vema.
 
Sasa hivi hairuhusiwi watu kukaidi ushauri wa kitaalam, jua hali yako ili ujizuie kutema mbegu, uzuie kuwaambukiz ndugu na jamaa, ukishajua hali yako utaacha kutangatanga....
unajua matokeo ya mgonjwa wa ukimwi akiishajijua ni mgonjwa?????

huo ni ukimwi ambao still mgonjwa ana nafasi ya kuishi,vipi corona ambayo kupona ni 10%???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ji wapuuzi sana. Ni Bora kuwaacha na upumbavu wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi comments kwenye uzi huu bana. [emoji1] Watanzania na ushamba ni kama 5&6. [emoji40]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…