Baadhi ya ajali za bodaboda husababishwa na abiria wao

Baadhi ya ajali za bodaboda husababishwa na abiria wao

Dali Mpofu

Senior Member
Joined
May 9, 2021
Posts
173
Reaction score
328
Abiria wengi kwenye bodaboda wanataka waangalie kila hatua la tairi la mbele la pikipiki linapopita, anataka aone mbele kuliko hata dereva.

Na ikiwa haoni vzuri upande huu anageuza shingo upande wa pili,hii inaperekea wakati mwingine kumyumbisha dereva kwasababu wakati mwingine mko sehemu finyu au mazingira si rafiki, na wewe abiria unalazimisha uchungulie mbele mwisho wa siku jamaa akikosa balance kinachofuata ni ajali.

Muwe na ustarabu mkibebwa au ukitaka ufatilie mbele zaidi muombe uendeshe wewe.
 
Mkuu
Stupid reason, ni asilimia ngapi hii ukicompare na ujinga mwingi unaosababishwa na madereva wenyewe (not all).
Nim
Stupid reason, ni asilimia ngapi hii ukicompare na ujinga mwingi unaosababishwa na madereva wenyewe (not all).
Mkuu nimesema "baadhi ya"
Sijasema nyingi, au zote. Tafadhali elewa kwanza
 
Huyo dereva labda wa baisikeli. Huyo abilia wa kilo ngapi,na mzigo wa kilo 200,kipi kinaweza sababisha ajali kirahisi?
Mada nyingine bwana eh. Siyo kila mwendesha pikipiki anastahili kuitwa dereva wa pikipiki. Na je,ajali za miaka ya nyuma umezisahau? Chanzo hukijui?
Kama ilivyo kwa vyuo vya kujifunzia kuendesha gari, na pikipiki ilitakiwa kuwa hivo. Kwa faida ya anaeendesha,kama akipenda lakini. Vijana wengi,akiona anaweza kupanga na kupangua gia,basi hapo hapo anaenda kuwa boda boda na kutafuta hela. Utamuona mtu anakimbia spidi 100,kwenye taa hajali,kwenye magari makubwa ndo huyo kupenyapenya,mwishowe wanaishia chini ya tairi. Hao ndo unaosingizia abilia kwamba wanasababishiwa ajali?
 
Iv
Huyo dereva labda wa baisikeli. Huyo abilia wa kilo ngapi,na mzigo wa kilo 200,kipi kinaweza sababisha ajali kirahisi?
Mada nyingine bwana eh. Siyo kila mwendesha pikipiki anastahili kuitwa dereva wa pikipiki. Na je,ajali za miaka ya nyuma umezisahau? Chanzo hukijui?
Kama ilivyo kwa vyuo vya kujifunzia kuendesha gari, na pikipiki ilitakiwa kuwa hivo. Kwa faida ya anaeendesha,kama akipenda lakini. Vijana wengi,akiona anaweza kupanga na kupangua gia,basi hapo hapo anaenda kuwa boda boda na kutafuta hela. Utamuona mtu anakimbia spidi 100,kwenye taa hajali,kwenye magari makubwa ndo huyo kupenyapenya,mwishowe wanaishia chini ya tairi. Hao ndo unaosingizia abilia kwamba wanasababishiwa ajali?
I
Huyo dereva labda wa baisikeli. Huyo abilia wa kilo ngapi,na mzigo wa kilo 200,kipi kinaweza sababisha ajali kirahisi?
Mada nyingine bwana eh. Siyo kila mwendesha pikipiki anastahili kuitwa dereva wa pikipiki. Na je,ajali za miaka ya nyuma umezisahau? Chanzo hukijui?
Kama ilivyo kwa vyuo vya kujifunzia kuendesha gari, na pikipiki ilitakiwa kuwa hivo. Kwa faida ya anaeendesha,kama akipenda lakini. Vijana wengi,akiona anaweza kupanga na kupangua gia,basi hapo hapo anaenda kuwa boda boda na kutafuta hela. Utamuona mtu anakimbia spidi 100,kwenye taa hajali,kwenye magari makubwa ndo huyo kupenyapenya,mwishowe wanaishia chini ya tairi. Hao ndo unaosingizia abilia kwamba wanasababishiwa ajali?
Mkuu mtu akisema "baadhi" uelewi? Wewe ulichoongea umejumuisha ajali za bodaboda kitu ambacho ni tofauti nilichokiongea
 
Abiria wengi kwenye bodaboda wanataka waangalie kila hatua la tairi la mbele la pikipiki linapopita, anataka aone mbele kuliko hata dereva.
Na ikiwa haoni vzuri upande huu anageuza shingo upande wa pili,hii inaperekea wakati mwingine kumyumbisha dereva kwasababu wakati mwingine mko sehemu finyu au mazingira si rafiki,
Si kweli, Bodaboda wengi hawapigi mswaki, hivyo abiria lazima ainue kichwa kukwepa harufu mbaya inayotoka mdomoni mwa bodaboda, mbaya zaidi wengine wanakunywa pombe hata wiki hawasafishi kinywa, kama ni wewe utavumilia hali hiyo?
 
Mkuu
Nim
Mkuu nimesema "baadhi ya"
Sijasema nyingi, au zote. Tafadhali elewa kwanza
Minor, minor, minor reason, it doesn't deserve even to start a thread for it, does it?

Ukipewa nafasi u address sababu za ajali nyingi za boda boda are you for real gonna mention that, are you on crack or somethin???
 
Si kweli, Bodaboda wengi hawapigi mswaki, hivyo abiria lazima ainue kichwa kukwepa harufu mbaya inayotoka mdomoni mwa bodaboda, mbaya zaidi wengine wanakunywa pombe hata wiki hawasafishi kinywa, kama ni wewe utavumilia hali hiyo?
Hahaha haya buana
 
Abiria wengi kwenye bodaboda wanataka waangalie kila hatua la tairi la mbele la pikipiki linapopita, anataka aone mbele kuliko hata dereva.
Na ikiwa haoni vzuri upande huu anageuza shingo upande wa pili,hii inaperekea wakati mwingine kumyumbisha dereva kwasababu wakati mwingine mko sehemu finyu au mazingira si rafiki,nawewe abiria unalazimisha uchungulie mbele mwisho wa siku jamaa akikosa balance kinachofuata ni ajali. Muwe na ustarabu mkibebwa au ukitaka ufatilie mbele zaidi muombe uendeshe wewe.

Hiyo sababu ni nyepesi sana haifiki hata asilimia moja; Kinachowasababishia ajali zaidi ni;
1. Ni uzembe wa waendesha boda boda (kuchomekea magari, kupita katikati ya magari, kuingia au kutoka barabarani bila kuchukua tahadhari, kubeba mizigo mipana barabarani, kutokuvaa miwani au Kofia nk nk
2. Pikipiki takribani 40 kati ya 100 hazina saiti mira (side mirrow) watakuwaje salama wakati hawaoni nyuma?
3. Na sasa hivi boda boda zinaongoza kwa kugongana zenyewe kwa zenyewe
 
Kwa asilimia kubwa sana ajali za bodaboda zinasababishwa na bodaboda wenyewe, yaani nyie vijana sijui mna matatizo gani mkiwa barabarani mnaona kama vile barabara ya kwenu mnaweza fanya chochote.
 
Mkuu
Nim
Mkuu nimesema "baadhi ya"
Sijasema nyingi, au zote. Tafadhali elewa kwanza
Shida kweli kweli. Ungeongelea uzembe wenu na ujuaji. Na mihemuko ya sifa za ajabu. Vyombo vya moto hivo. Mbona wengi wanakufa wakiwa wenyewe?
 
Back
Top Bottom