DOKEZO Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani kuweka Vijana wasio na mafunzo kukamata Bodaboda ni hatari

DOKEZO Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani kuweka Vijana wasio na mafunzo kukamata Bodaboda ni hatari

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hii tabia ya Askari wa Barabarani especially Mkoa wa Dar es Salaam maeneo mengi likiwemo eneo la Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo, kutafuta vijana machawa wa kukamata Bodaboda ambao wamevunja Sheria za Usalama Barabarani kama kutokuvaa kofia ngumu na mengineyo, sio nzuri na ipo siku itasababisha madhara makubwa.

Unakuta askari amekaa kwenye kibanda kawaacha watu ambao hawana mafunzo yoyote ya Jeshi la Polisi kazi ya kukamata Bodaboda, hii inasababisha sana rushwa maana mwisho wa siku wale vijana lazima walipwe au wajilipe.

Je, hela wanatoa wapi kama si kuchukua rushwa! Lingine ni kuchochea chuki kwenye jamii baina ya wakamataji na Bodaboda.

Jeshi la Polisi hili lifanyiwe kazi, kama Viongozi wa Juu ndani ya Jeshi la Polisi hamjui hili basi chukueni hatua haraka, kama mnajua basi tambueni mnachokitengeneza ipo siku kitakuwa mwiba mchungu kwenu.

Yanaweza kutokea madhara na yakawa na athari kubwa.
 
Huu msumali Ni Hakika... Hao Vijana wako Kila Sehemu ya Mataa... Hiyo pia inachangia kusababisba Ajari, huo mfumo wao.
 
Hii tabia ya askari wa barabarani especially mkoa wa Dar Es Salaam maeneo mengi kama Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo kutafuta vijana machawa wa kukamata bodaboda ambao wamevunja Sheria za usalama barabaran kama kutokuvaa kofia ngumu na mengineyo

Unakuta askari amekaa kwenye kibanda kawaacha watu ambao hawana mafunzo yoyote ya Jeshi la Polisi kazi ya kukamata bodaboda, hii inasababisha sana rushwa maana mwisho wa siku wale vijana lazima walipwe au wajilipe.

Je, hela wanatoa wapi kama si kuchukua rushwa! Lingine ni kuchochea chuki kwenye jamii baina ya wakamataji na bodaboda.

Jeshi la Polisi hili lifanyiwe kazi ya usalama barabaran ni yenu na sio watu wengine.
Nilimsikia kiongozi wa Bodaboda alisema kwamba kwasasa wamezuia hao polisi jamaa kuwakamata bodaboda kwenye mataa maana walikuwa wanawasababishia "MABUYU" sana madereva wa bodaboda.
 
Hii tabia ya askari wa barabarani especially mkoa wa Dar Es Salaam maeneo mengi kama Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo kutafuta vijana machawa wa kukamata bodaboda ambao wamevunja Sheria za usalama barabaran kama kutokuvaa kofia ngumu na mengineyo

Unakuta askari amekaa kwenye kibanda kawaacha watu ambao hawana mafunzo yoyote ya Jeshi la Polisi kazi ya kukamata bodaboda, hii inasababisha sana rushwa maana mwisho wa siku wale vijana lazima walipwe au wajilipe.

Je, hela wanatoa wapi kama si kuchukua rushwa! Lingine ni kuchochea chuki kwenye jamii baina ya wakamataji na bodaboda.

Jeshi la Polisi hili lifanyiwe kazi ya usalama barabaran ni yenu na sio watu wengine.
Kuanzia msimbazi Polisi mpaka roundabout ya uhuru ndio michezo hiyo ipo.
 
Hii tabia ya askari wa barabarani especially mkoa wa Dar Es Salaam maeneo mengi kama Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo kutafuta vijana machawa wa kukamata bodaboda ambao wamevunja Sheria za usalama barabaran kama kutokuvaa kofia ngumu na mengineyo

Unakuta askari amekaa kwenye kibanda kawaacha watu ambao hawana mafunzo yoyote ya Jeshi la Polisi kazi ya kukamata bodaboda, hii inasababisha sana rushwa maana mwisho wa siku wale vijana lazima walipwe au wajilipe.

Je, hela wanatoa wapi kama si kuchukua rushwa! Lingine ni kuchochea chuki kwenye jamii baina ya wakamataji na bodaboda.

Jeshi la Polisi hili lifanyiwe kazi ya usalama barabaran ni yenu na sio watu wengine.
Tii sheria, ukivunja mbinu yoyote itatumika kukukamata
 
Hii tabia ya askari wa barabarani especially mkoa wa Dar Es Salaam maeneo mengi kama Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo kutafuta vijana machawa wa kukamata bodaboda ambao wamevunja Sheria za usalama barabaran kama kutokuvaa kofia ngumu na mengineyo

Unakuta askari amekaa kwenye kibanda kawaacha watu ambao hawana mafunzo yoyote ya Jeshi la Polisi kazi ya kukamata bodaboda, hii inasababisha sana rushwa maana mwisho wa siku wale vijana lazima walipwe au wajilipe.

Je, hela wanatoa wapi kama si kuchukua rushwa! Lingine ni kuchochea chuki kwenye jamii baina ya wakamataji na bodaboda.

Jeshi la Polisi hili lifanyiwe kazi ya usalama barabaran ni yenu na sio watu wengine.
Hata bila hao wakamataji bodaboda wenyewe tayari ni hatari, hawaishi kugongana wenyewe.
 
Hata bila hao wakamataji bodaboda wenyewe tayari ni hatari, hawaishi kugongana wenyewe.
Na bado wanataka waachwe wafanye watakavyo

Kwa kweli dar nzima imekuwa hatari kwa watembea kwa miguu, bodaboda hawaangalii Sheria yoyote ya barabarani
 
Siku moja nikachukua tukutuku ya jamaa yangu ,nikaingia mitaa ya Sudan walau nimcheki rafiki yangu dendeka .

Sasa nikasema jamaa ana mke na wamepata kichanga soon ,wacha nipite stereo walau nipate matunda na vidude vidogo vidogo nimbebe mwana.

Nakunja Kona ya hospitali ya Temeke ,nakutana na trafiki akanipungia mkono wa salamu maana ananijua na sikuvaa kofia ,nazidi kusonga mbele kijana mmoja mchovu akaja wangu wangu mbele ya tukutuku na vile sikuwa kasi akachomoa funguo ,sikuanguka ila nilitetereka .

Namuuliza vipi kijana ,anasema kofia iko wapi nikaomba tutambuane ,akazama mfukoni katoa kitambulisho ila akanionesha kwa haraka hata sikuona chochote alafu karudisha mfukoni ,nikamwambia dogo nipe funguo ,la leta kitambulisho chako nikisome kwa utulivu .

Akaona hili zali ,Mara aanze kusema twende kituo Cha polisi hapo chang'ombe nikamwambia hapana huko siendi labda njoo twende hapo Tazara .

Taa ikawaka kichwani kwake kwanini nichague kituo ,Basi akanirushia funguo zangu na tusi la viungo vya mama yangu kipenzi .

Kwakuwa nilikuwa bado Sina mazoezi ya kupigana na kumtwanga mtu vilivyo kinyonge nikachukua funguo ,nikawasha tukutuku nikaendelea na safari yangu .

Ila hakika wanaboa na yule bwana aliniharibia siku japo nawaza ingekuwa tunakutana leo na vile tayari nimeshaanza kuiva kwenye ngumi mtambuka basi ningentembezea kiboko Cha maana
 
Back
Top Bottom