Baadhi ya common statement za wanawake?

Hny naomba hela kidogo ya matumizi [emoji134]‍♀️

Baby wangu nikusumbue? Nina shida sijui utanisaidiaje!?

Mpenzi wangu nimeibiwa kila kitu ndo maana cpatikaani hapa nimeazima cm ya rafiki yangu [emoji24][emoji24]
 
Hny naomba hela kidogo ya matumizi [emoji134]‍♀️

Baby wangu nikusumbue? Nina shida sijui utanisaidiaje!?

Mpenzi wangu nimeibiwa kila kitu ndo maana cpatikaani hapa nimeazima cm ya rafiki yangu [emoji24][emoji24]
Sualaa la Simuu kuibiwaa...kutumbukia kwenye majii.. Sijui sio yanguu nimeazimaa ni mzigoo..
 
Kwani kama mko malavidavido si ni ada mkikutana vyuma vinapeana moto, au ni suala la kujihami ukiogopa kufuata cash unayoitiwa? Huo ulavidovido wenu naona wa kiu na nyege upande mmoja na maslahi ya ngawira tu upande mwengine
 
Sualaa la Simuu kuibiwaa...kutumbukia kwenye majii.. Sijui sio yanguu nimeazimaa ni mzigoo..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume tunapitishwaga kwenye magumu mengi kwa tamaa zetu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaume tunapitishwaga kwenye magumu mengi kwa tamaa zetu
Yaaha anajua unaitaka Pussy kwa halii na malii...soo kama hela unayo..simuu utamnunulia.. Me huwa namwambia usijali ntakununulia tu kuwa mpole.. Akijaa nkamvuaa tuu bhasi hiyoo
 
Nadhan hii ni kwa mabint wasio na kazi au hata wenye ajira?
 
Nadhan hii ni kwa mabint wasio na kazi au hata wenye ajira?
Haa...yaani hao wenye ajira ndo hatar...mizinga mikubwa mikubwa...
Akitaka kitu cha laki 2...utaskia bae...ninakalaki hapa naomba uniongezee laki ninunue .....
 
Imetosha mbona hivyo lakini [emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…