Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani zina shida, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni

Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani zina shida, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani hazina akili timamu, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni

Hii tabia ya baadhi ya kampuni za simu kuzuia huduma ya kuzungumza na wateja kupitia namba 100 sijui wametoa wapi TCRA wachukulieni hatua hawa watu, huwa hawataki kuongea na wateja bila kufahamu madhara yake ni makubwa sana kwa wateja

Wateja wanaweza kuwa wamepoteza mamilioni ya fedha kwa kukosea kutuma na pale wanapohitaji msaada wa haraka wanakosa

Wamejikita kuchat na Wateja WhatsApp madhara yake jumbe zinachelewa kusomwa kwasababu ya wateja wanapokuwa wakihangaika na BOT kabla ya kuunganishwa na wahudumu

Nini maana ya huduma kwa wateja? Inamaana gani kuweka namba 100 alafu mnazuia kuzungumza na wateja yaani ni sawa na kuweka Emergency number ya zima Moto alafu uazuia kuongea na wateja

Tafadhali acheni huu ujinga haraka, kama hamtaki kuongea na wateja fungeni kampuni zenu

Inamana hamjui kuwa hizo kampuni haziwezi kuwa hai bila wateja??

Blal kenge.....
 
Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani hazina akili timamu, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni

Hii tabia ya baadhi ya kampuni za simu kuzuia huduma ya kuzungumza na wateja kupitia namba 100 sijui wametoa wapi TCRA wachukulieni hatua hawa watu, huwa hawataki kuongea na wateja bila kufahamu madhara yake ni makubwa sana kwa wateja

Wateja wanaweza kuwa wamepoteza mamilioni ya fedha kwa kukosea kutuma na pale wanapohitaji msaada wa haraka wanakosa

Wamejikita kuchat na Wateja WhatsApp madhara yake jumbe zinachelewa kusomwa kwasababu ya wateja wanapokuwa wakihangaika na BOT kabla ya kuunganishwa na wahudumu

Nini maana ya huduma kwa wateja? Inamaana gani kuweka namba 100 alafu mnazuia kuzungumza na wateja yaani ni sawa na kuweka Emergency number ya zima Moto alafu uazuia kuongea na wateja

Tafadhali acheni huu ujinga haraka, kama hamtaki kuongea na wateja fungeni kampuni zenu

Inamana hamjui kuwa hizo kampuni haziwezi kuwa hai bila wateja??

Blal kenge.....
Pamoja kiongozi, lakini BOT ni nzuri pia. Hapa muhimu ni kuanisha aina za huduma. Mfano, masuala kama ya pesa kuwa na namba ya kupiga moja kwa moja huku huduma zingine zisizo sensitive sana zikatolewa na AI yao.
 
Pamoja kiongozi, lakini BOT ni nzuri pia. Hapa muhimu ni kuanisha aina za huduma. Mfano, masuala kama ya pesa kuwa na namba ya kupiga moja kwa moja huku huduma zingine zisizo sensitive sana zikatolewa na AI yao.
Hawajui watumiaji wengi ni watu wazima na wengi sio watundu wa simu, mzee wa miaka 70 wanaanza kumsumbua awatafute WhatsApp atajulia wapi
 
Yaani ni kero kero kero ×10000

Wanazingua sana hawa watoa huduma wa hii mitandao
 
Baadhi ya Kampuni za simu Tanzania nadhani hazina akili timamu, tabia ya kuzuia simu za wateja na kuwachatisha WhatsApp kupitia BOT ni ulimbukeni

Hii tabia ya baadhi ya kampuni za simu kuzuia huduma ya kuzungumza na wateja kupitia namba 100 sijui wametoa wapi TCRA wachukulieni hatua hawa watu, huwa hawataki kuongea na wateja bila kufahamu madhara yake ni makubwa sana kwa wateja

Wateja wanaweza kuwa wamepoteza mamilioni ya fedha kwa kukosea kutuma na pale wanapohitaji msaada wa haraka wanakosa

Wamejikita kuchat na Wateja WhatsApp madhara yake jumbe zinachelewa kusomwa kwasababu ya wateja wanapokuwa wakihangaika na BOT kabla ya kuunganishwa na wahudumu

Nini maana ya huduma kwa wateja? Inamaana gani kuweka namba 100 alafu mnazuia kuzungumza na wateja yaani ni sawa na kuweka Emergency number ya zima Moto alafu uazuia kuongea na wateja

Tafadhali acheni huu ujinga haraka, kama hamtaki kuongea na wateja fungeni kampuni zenu

Inamana hamjui kuwa hizo kampuni haziwezi kuwa hai bila wateja??

Blal kenge.....
Bado wana huo ujinga?
 
Ndiyo boss wanatakiwa wakoromewe na TCRA wanachokifanya ni ujinga
Wana ujinga mwingi sana, wana launch system bila hata kuifanyia system testing!!
Matokeo yake wanakugeuza fundi wa tatizo tofauti na ililo ripoti kwao
 
Wana ujinga mwingi sana, wana launch system bila hata kuifanyia system testing!!
Matokeo yake wanakugeuza fundi wa tatizo tofauti na ililo ripoti kwao
Tatizo sana
 
Back
Top Bottom