Baadhi ya kauli siku hazisikiki kabisa mitaani na kwenye makunywaji

tatum

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2018
Posts
5,786
Reaction score
4,491
Kuna baadhi ya kauli siku hizi sizisikii kabisa kama hizi.....

  1. Unanijua mimi nani?
  2. Wee kijana hujipendi....
  3. Nenda kashitaki popote pale....
  4. Nitakupoteza naona hunijui.......
  5. Nauwezo wa kukufanya chochote kile....
  6. Nitakufunga na utaozea jela...
  7. Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa....
  8. Wee kijana unatafuta kupotezwa.....
Nadhani sasa ule ubabe uliokuwepo kipindi kile umepungua au kwisha kabisa. kila mmoja yuko free na shughuli zake bila shida yoyote.
 
.
 
Sasa hivi tuna watu wasiojulikana, wasipokushambulia kwa risasi basi watakuteka na kukupoteza
 
Sawa hawapo hao je ulishawahi kuvimiwa na upepo wa watu wasiojulikana?
 
Na 6 na 8 haipo theoretically but practically iko very active
 
Naona umesahau hii hapa
Laki si pesa
Tumia pesa ikuzoee
Ponda mali kufa kwaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…