masanduku ni transparent, cha muhimu ni wasimamizi kuchukua idadi ya watu waliojiandikisha ambao wako kwenye list na baada ya uchaguzi, wafanye rikonsiliasheni ya idadi waliyonayo na ya kura zilizopo, na hilo la namba bila jina wanatakiwa waliweke wazi mapema kuwa halitakubaliwa kwa mtu mwenye namba tu bila kuwa na jina kupiga kura