Baadhi ya madada poa wanakula njama na maaskari kukamatisha wateja wao

Huyu Muliro ametokea wapi? Si mfanye mchakato mumhamishe? Tangu lini biashara ya ukahaba ikaisha kirahisi tu kwa kuwakamata wanaume? Kama walishindwa miaka nenda, ndiyo wataweza sasa?

Mimi naona ametengeneza tu mianya ya asakri wake kuendelea kuchukua rushwa kutoka kwa raia wema! Watu wamekubaliana kwa makubaliano yao wenyewe! Wewe unakuja kuwavuruga! Waachwe watu wapunguze uzito.

Muhimu tu vigezo na masharti vizingatiwe.
 
chukua kinywaji chochote kwa bill yangu
 
Achana na hayo mambo, fanya mambo mengine...
 
Mara nying huwa nikiwa nao huwa nahis kutokewa na kitu kibaya ila kichwa cha chini kinanipa ujasiri
mi niliacha,kuna mmoja niliingia nae room mashine ikagoma kusimama,wakati siku tatu nyuma nimepiga show sehemu.nikaja kuambiwa baadhi huweka mkaa kwenye mto so mashine haisimami na kuna wana ishawatokea
 
Wateja poleni sana [emoji38][emoji23]
 
Kamua dogo hizo ni changamoto ndogo kazini ulitakiwa uwaambie wakae mbali kidogo ukimwaga utawafuata
 
Mtu ambaye hajawahi kupita na dada poa hajakamilika.

Mimi nilishaachana nao kitambo hao warembo. Wako makini sana kwenye kinga na hata usafi. Anajua kukusaidia umalize fasta maana wao muda ni mali.


Sijasema kitu mimi ohooo😅
 
Na sijui kwa nini polisi wanapenda kuzungukia machimbo ya madada poa. Mpitanjia unaweza kuishia mikononi mwao wakidhani ni mteja wa hao malaya
 
Kama wanaume tutaacha kwenda kwa hao madada poa nadhan hata hao madada poa hawatakaa kuwepo binafsi naona ni njia nzuri na sahihi upande mmoja ukiwa na woga huo upande wa pili hautakaa kuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…