KERO Baadhi ya maeneo Dodoma ni machafu sana, kuna vichaka na maji taka katika ya Jiji, Mamlaka chukueni hatua

KERO Baadhi ya maeneo Dodoma ni machafu sana, kuna vichaka na maji taka katika ya Jiji, Mamlaka chukueni hatua

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.58 (1).jpeg

WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.30.jpeg
Dodoma ni moja ya Jiji chafu nchini, uchafu umezagaa hasa maeneo ya Mjini ambapo kuna Mkuu Wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa, then kuna hali hii ya Uchafuzi wa Mazingira tena ni urefu wa kilometa mbili kufika makazi ya Waziri Mkuu, nyuma ya Viwanja vya Chinangali Park sehemu ambayo Rais ameshashiriki matukio makubwa mbalimbali.

Vichaka hivi unavyoviona vipo kuanzia Soko la Majengo, Hospitali ya General, Soko Kuu la Dodoma, Machinga Complex, nyuma ya Chinangali Park, kuna mtaro mkubwa ambao, Mamlaka za Dodoma zimeuacha ukiwa mchafu bila kufanyiwa usafi pamoja na kujifanya wameweka sheria kali ya kila Jumamosi kuanzia Saa 12 asubuhi mpaka Saa Tatu kama sijakosea ambapo mji huu biashara zote ufungwa kwa jailli ya kufanya usafi.

Mkuu wa Wilaya Dodoma hivi kwa uchafu huu Dodoma unashindwa kuwajibika, nitoe mfano mwingine eneo la Chamwino Darajani Karibu na Soko la Maisha Plus ibaka wanaweza kujificha katika maeneo hayo kwa lengo la kufanya uharifu kwa wapita njia.
WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.55.jpeg



 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-10-21 at 23.25.29.mp4
    1.4 MB
  • WhatsApp Video 2024-10-21 at 23.14.56.mp4
    648.9 KB
  • WhatsApp Video 2024-10-21 at 23.14.55.mp4
    763 KB
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.30.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.30.jpeg
    120 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.28.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.28.jpeg
    150.3 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.58.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.58.jpeg
    161.7 KB · Views: 2
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.55.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.55.jpeg
    98.7 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.56.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.56.jpeg
    109.5 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.57.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.57.jpeg
    117.2 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.58.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.14.58.jpeg
    161.7 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.28.jpeg
    WhatsApp Image 2024-10-21 at 23.25.28.jpeg
    150.3 KB · Views: 6
watu wanaisema sana mbeya kwamba ni ya ovyo wana sahau kuwa ni tanzania nzima ovyooooooo
 
Dodoma bado ni pori kubwa .acha waendelee kujikinga na kivuli cha mibuyu ndo maana chura kiziwi huwa hakai sana ikulu Dodoma
 
Wagogo na usafi wapi na wapi?

Acha dharau na ukabila
viongozi na wafanyakazi sio wote ni wagogo inatakiwa wawajibike

pia acha kasumba za kiswahili za kukosoa kila jambo pasipo kutoa suluhisho, hii tabia wengi mnayo kujiona much know kumbe hamna lolote kichwani na maishani
 
Acha dharau na ukabila
viongozi na wafanyakazi sio wote ni wagogo inatakiwa wawajibike

pia acha kasumba za kiswahili za kukosoa kila jambo pasipo kutoa suluhisho, hii tabia wengi mnayo kujiona much know kumbe hamna lolote kichwani na maishani
Hatuna lolote ila ni wasafi.Wagogo ni wachafuuu
 
Acha dharau na ukabila
viongozi na wafanyakazi sio wote ni wagogo inatakiwa wawajibike

pia acha kasumba za kiswahili za kukosoa kila jambo pasipo kutoa suluhisho, hii tabia wengi mnayo kujiona much know kumbe hamna lolote kichwani na maishani
MPUMBAVU HUYO
 
Back
Top Bottom