Baadhi ya magari ya serikali yanaendeshwa vibaya sana

Baadhi ya magari ya serikali yanaendeshwa vibaya sana

Tella Mande

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2018
Posts
494
Reaction score
675
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Viashiria vya police state, kwenye nchi zenye utawala bora hakuna aliyejuu ya sheria, hawa viongozi why kila wakati wapo in a hurry?,awamu ya kwanza ni top 4 leaders waliokua na blue lights, Leo hadi Makonda ana blue lights!!!
 
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Sio mwendokasi tu bali pia kutojali watumiaji wengine wa barabara. Wao wanataka uwapishe njia wapite kwanza. Wanakuwashia mataa ili ukae pembeni wanapo overtake magari yaliyo mbele yao. Usipotumia busara waweza kugongana nao uso kwa uso. Wanajiona wao ni bora kuliko madereva wengine. Lakini mchezo wao huo ni mauti kwetu.
 
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Kwani hizo ajali unafikiri zinatokana na nini? Magari ya serikali yana historia ya ajali mbaya ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, rejea ajali iliyomuua Prof. wetu mpendwa(R.I.P Prof Ngowi)
 
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Mkuu madereva wa serikali wanapelekeshwa na mabosi wao akijifanya kufuata sheria anapigwachini anachukuliwa dereva mwingine hasa ukute gari inapeperusha bendera ya Taifa.

Fotunatus Musilim alipokua mkuu wa usalama barabarani kitaifa alijitahidi sana kuwabana madereva wa serikali wasiojitambua matokeo yake ikapigwa "chenjikota" akawa RPC Moro
 
Sijui kama hili ninaliona mwenyewe au la.
Nilikuwa safarini kutoka Dar kwenda Katavi. Njiani nimepitwa na magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo kasi, overtake za hatari, wrong site na taa zimwwashwa mchana kweupe.
Barabara ya Dar kwenda dodoma na dodoma singida ndo zimetia fora.
La kushangaza ndani ya gari kuna kiongozi. Kanyamaza kana kwamba haoni kwamba dereva anavunja sheria na anahatarisha maisha yao wote kwenye hilo gari.
Ni ajabu nyingine kwamba na polisi hawawakamati.
Imekuwa ni mtindo kuwa ukitaka kuwahi subiri gari ya serikali ikupite we unaunga nyuma. Nimewaona wengine wakifanya hivyo.

Mbona swala hili limefumbiwa macho?

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Kuna prado moja stl imemfumua boda boda usalama hapa
 
Ukikutana na msafara wa bwana Makamba kwenye hii ziara yake inayoendelea,hautasikitika tena ukisikia ajali za haya ma-SU,STK wala STJ.
 
Ndo mana mi nikisikia gari za serikali imepata ajari huwa sisikitiki
 
Serikali ikitana ivune hela, ipige marufuku tinted magari yote ila kwa front seats na kioo.
Waweke camera systems kwenye barabara,
Waweke speed radars, afu wao watulie, mtu akipigwa speed moja kwa moja unakutana na deni

Faini ya speeding iwe inaongezeka kutokana na kila 10kph, hii ni mbaya ila itatusaidia.

Hapo hapo serikali iboreshe miundombinu
 
Back
Top Bottom