notoriousic
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 425
- 484
Umenichefua kwa kuyafukua Makaburi ambayo tayari tulijiandaa kuyasahau...Tunaelekea kumaliza mwaka wapendwa baadhi tukiwa salama, wengine wakiwa na upungufu wa viungo na wengine hatunao kabisa. Hatuna budi kushukuru.
Mada yangu ni kuhusu mambo yaliyonichefua sana 2017 humu JF hasa ya kiuandishi...
Mfano:
1. Xhule badala ya Shule
2. Hamekuja badala ya Amekuja
3. Ha2a badala ya Hatua
4. Mcba badala ya Msiba
5. Safali.......
6. ......
7. ..........
Ongezea na wewe yaliyokuchefua mpaka ukaacha kumalizia kusoma ulichokuwa unasoma.