black abdu
Senior Member
- Dec 2, 2022
- 156
- 212
Sijasikia mama GilooUkiwa Chugga, utasikia misamiati tofauti sana na maeneo mengine, kama kwenye wingi wa maneno, mfano:
Maji - Mamaji
Ulaya - Maulaya
Watu - Mawatu
Zipu - Mazipu
Kikombe - mavikombe
Sahani ya pilau - Masahani ya pilau
Misamiati:
Mende - Parata
Okota - lokota
Nakuangalia - Nakudere
Ngeu - Turu
Kaa (mdudu wa baharini) - Ngala
Sarufi:
Hii miguu inaniuma - Hizi miguu zinaniuma
Vihisishi vya sauti:
Akamchapa kofi paaah!
Ameanguka puuh!
Kikombe kimeanguka kangaraa!
Au Baba Furee [emoji1787]Sijasikia mama Giloo
Wachaga utasikia mama akee, au baba akee na huyo ni mtoto ana miaka mitatu. Baba akee njoo nikunyweshe uji aiseeSijasikia mama Giloo
Bangi+ugoro+mirungi+gongo+banana= Lugha ya ajabuUkiwa Chugga, utasikia misamiati tofauti sana na maeneo mengine, kama kwenye wingi wa maneno, mfano:
Maji - Mamaji
Ulaya - Maulaya
Watu - Mawatu
Zipu - Mazipu
Kikombe - mavikombe
Sahani ya pilau - Masahani ya pilau
Misamiati:
Mende - Parata
Okota - lokota
Nakuangalia - Nakudere
Ngeu - Turu
Kaa (mdudu wa baharini) - Ngala
Sarufi:
Hii miguu inaniuma - Hizi miguu zinaniuma
Vihisishi vya sauti:
Akamchapa kofi paaah!
Ameanguka puuh!
Kikombe kimeanguka kangaraa!
Bangi zimewaharibu hao watuUkiwa Chugga, utasikia misamiati tofauti sana na maeneo mengine, kama kwenye wingi wa maneno, mfano:
Maji - Mamaji
Ulaya - Maulaya
Watu - Mawatu
Zipu - Mazipu
Kikombe - mavikombe
Sahani ya pilau - Masahani ya pilau
Misamiati:
Mende - Parata
Okota - lokota
Nakuangalia - Nakudere
Ngeu - Turu
Kaa (mdudu wa baharini) - Ngala
Sarufi:
Hii miguu inaniuma - Hizi miguu zinaniuma
Vihisishi vya sauti:
Akamchapa kofi paaah!
Ameanguka puuh!
Kikombe kimeanguka kangaraa!
Shilingi elfu moja-shaleAu Baba Furee [emoji1787]
Mbona hayo ni majina ya kawaida na fadaha kwa hivyo vitu?Bangi+ugoro+mirungi+gongo+banana= Lugha ya ajabu
Ati???? Acha uzwazwa. Ni kawaida kwa sehemu kuwa na misemo ya aina tofauti na wala si ushamba.Ushamba tu
Ndio maana Lugha ni sauti nasibu.Tumezaliwa tumekuta watu wanaongea hvo
Ha ha haaaaa! Nipo katika daladala to Ngaramtoni. Nasoma comment hii na konda anatamka sentensi hii "nitakuletea kontena ya noma"Hakuna rangi utaacha ona, nitakuletea container ya noma, ...