warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ukiachana na burudani kutoka kwawanamuziki mbalimbali kwenye hafla yakukabidhi tuzo za muziki za Kilimanjaro,burudani zaidi ilikuwa ni maneno kutokakwa MC ambaye pia ni mwigizaji sanaa yavichekesho Mpoki ambaye alikuwaanawakonga nyoyo waliohudhuria kwa kaulizake tata ambazo zilikuwa zinawavunjambavu.
Na hizi ni baadhi ya kauli na misemo ambayo iliwavunja watu mbavu.Tusiaandikie penseli wakati Penny aliyekuwa wa Diamond yupo. Kama usiku wa jana ulilala na haukuota basi leo lala na mbolea utaota. Big up kwa wasichana wote ambao wamevaa vimini kwa sababu walijua kuwa Mlimani city hakuna mbu, ahsante sana kwa kwenda nawakati. Wema mamaa magazeti kuchuna buzi na kuchanganya mabwana nikipaji pia. Ukiona panya anakatisha katisha sebuleni ujue anataka kujulikana. Kirefu cha HIV ni Hatari Imeingia Vitandani. Hivi ukiwa mcheza shoo lazima ujichubue? Na mimi pia ni dokta lakini wa magonjwa ya kike.
Na hizi ni baadhi ya kauli na misemo ambayo iliwavunja watu mbavu.Tusiaandikie penseli wakati Penny aliyekuwa wa Diamond yupo. Kama usiku wa jana ulilala na haukuota basi leo lala na mbolea utaota. Big up kwa wasichana wote ambao wamevaa vimini kwa sababu walijua kuwa Mlimani city hakuna mbu, ahsante sana kwa kwenda nawakati. Wema mamaa magazeti kuchuna buzi na kuchanganya mabwana nikipaji pia. Ukiona panya anakatisha katisha sebuleni ujue anataka kujulikana. Kirefu cha HIV ni Hatari Imeingia Vitandani. Hivi ukiwa mcheza shoo lazima ujichubue? Na mimi pia ni dokta lakini wa magonjwa ya kike.