Baadhi ya matajiri huanza mambo za kishirikina kwa lengo la kujilinda

Baadhi ya matajiri huanza mambo za kishirikina kwa lengo la kujilinda

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mara nyingi kujiingiza kwenye uchawi sio mwanzo wa kusaka utajiri..safari kwa waganga huanza pale mafanikio yanapoanza pale ambapo wasiwasi na pressure zinawakumba wanaona kama wanatapeliwa na kuibiwa muda wote hivyo wanashawishika kwenda kwa ajili ya ulinzi na huko ndipo wanapokutana na masharti makubwa pamoja na utapeli wa ujanjaujanja.

Kwa hiyo kinachowafanya waone kama uchawi upo na unafanya kazi ni jinsi wanapoona mafanikio yanaendelea kumbe tayari walikuwa washayawekea misingi pamoja na ule uoga wa kutotimiza masharti.
 
Ni kweli ni rahis kutoboa kwa mganga kama ulikuwa na viinshu vyako vya kukuingizia hela

Ingawaje kigoma,congo na kusini kuna watu wanapata utajiri wa ghafla na hawakuwa na kitu
 
Back
Top Bottom