πππ Hatari sana hawa jamaa.Mkuu umenikumbusha machungu aisee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii ishu ilishanitokeaga halafu mwisho wa semina aliekuita anasema "hope hujakwazika na kama umekwazika naomba nisamehe" nkajibu yaan umenifurahisha sana
Nimecheka sana mkuuπππKweli hapa mjini tutakaoingia mbinguni ni wachache labda watu wabadilike.
That's not fair.
Ninavyowachukia watu wa network marketing siku wanifanyie hivi hapo tamzimisha mtu.
Najenga picha hapa nabaki kucheka tu. Yaani umeomba kazi wamekuitwa for an interview baadaye unakutana na watu waliovaa makoti ya Karume
ππππππππMkuu umenikumbusha machungu aisee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hii ishu ilishanitokeaga halafu mwisho wa semina aliekuita anasema "hope hujakwazika na kama umekwazika naomba nisamehe" nkajibu yaan umenifurahisha sana
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eti makoti ya karume.Kweli hapa mjini tutakaoingia mbinguni ni wachache labda watu wabadilike.
That's not fair.
Ninavyowachukia watu wa network marketing siku wanifanyie hivi hapo tamzimisha mtu.
Najenga picha hapa nabaki kucheka tu. Yaani umeomba kazi wamekuitwa for an interview baadaye unakutana na watu waliovaa makoti ya Karume
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] eti makoti ya karume.
Ilishawah kunitokea last year nimeambiwa Kuna project niende for interview kwenda kule nakutana na upuuzi wa qnet.
Niliumia sana kupoteza muda wangu.
Bahati mbaya au nzuri aliyenialika ni kasister duu flani nikakaonea huruma.Hao waliokufanyia hivi kwa nini usiwashtaki?
Unawajulia sana mkuu.Makoti ya elfu saba wakiyanyoosha na kadeti za kariakoo za 12000 wanaanza kuwatapeli watu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli hapa mjini tutakaoingia mbinguni ni wachache labda watu wabadilike.
That's not fair.
Ninavyowachukia watu wa network marketing siku wanifanyie hivi hapo tamzimisha mtu.
Najenga picha hapa nabaki kucheka tu. Yaani umeomba kazi wamekuitwa for an interview baadaye unakutana na watu waliovaa makoti ya Karume