Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

Bora umenikumbusha maana nilikuwa nashindwa nianzeje[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niljua umesahau [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaa mtaniua mwaka huuuu
 
Niljua umesahau [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khaaaa mtaniua mwaka huuuu
Shauri yako hii ni wiki ya mwisho kukaa hapa, uzuri mshaniambia usafiri mzuri kwahiyo ni kujisogeza tu na kuondoka
 
Ukija kunifata kutatokea WW3

Kati yako na Jr.

Sina uwezo wa kuamua ugomvi wa Manguli.
Mpaka muda huo Jr atakuwa kashafariki kutokana na makombora yangu, kwa hiyo hakuna WW3.

Kibaya zaidi, atafariki bila kuacha mrithi anayeweza kusimama pekee.

Maana napiga kata funua, ua galagaza, ua upya mpaka maiti, mpaka maiti nazipiga tena upya, asije mtu kusingizia kafa wakati bado anapumua nikamuacha.
 
Nakuanika mpaka vidole vya miguuni
Ivi ushawahi kusikia mtu alikuwa amelala ndani lakini ameamka akiwa juu ya paa kwenye bati?.
Jaribu uone[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Shauri yako hii ni wiki ya mwisho kukaa hapa, uzuri mshaniambia usafiri mzuri kwahiyo ni kujisogeza tu na kuondoka
Aiseeeee ngoja nibingilite leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…