Baadhi ya Mikoa ukienda kufanya biashara support inakuwa ndogo kwasababu sio mzawa au kabila moja, unawezaje kutoboa?

Baadhi ya Mikoa ukienda kufanya biashara support inakuwa ndogo kwasababu sio mzawa au kabila moja, unawezaje kutoboa?

Joined
Feb 12, 2020
Posts
72
Reaction score
87
Wakuu Naombeni ushauri katika jambo Moja :-

Kumekuwa na mazoea kwa baadhi ya Mikoa yetu TZ, ukienda kufanya biashara au kampuni, support inakuwa ndogo bcoz sio mzawa wa eneo Lile au mkabila wa pale.

Hasa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro (Samahani )

Naombeni maarifa yenu, unawezaje kutoboa biashara/Kampuni katika Mikoa kama hiyo !?

[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Wakuu Naombeni ushauri katika jambo Moja :-

Kumekuwa na mazoea kwa baadhi ya Mikoa yetu TZ, ukienda kufanya biashara au kampuni, support inakuwa ndogo bcoz sio mzawa wa eneo Lile au mkabila wa pale.

Hasa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro (Samahani )

Naombeni maarifa yenu, unawezaje kutoboa biashara/Kampuni katika Mikoa kama hiyo !?

[emoji22][emoji22][emoji22]
Maneno yako hayana ukweli sana kwani kama bidhaa na huduma yako ni nzuri lazima utoboe
 
Wakuu Habari,
Wakongwe wa biashara tunaomba uzoefu wangu hapa:-
Now days kuna bookeeping and record keeping apps and software nyingi sana lakini kwanini tulija madukani kwenu hatuoni mukizitumia wakati ni kama mumerahisishiwa mzigo,
Shusheni uzoefu wenu kwanini still munatumia local way badala ya modern ways🙏

B8FC137E-BD1E-48B7-A2E0-B50701769667.jpeg
 
Wakuu Habari,
Wakongwe wa biashara tunaomba uzoefu wangu hapa:-
Now days kuna bookeeping and record keeping apps and software nyingi sana lakini kwanini tulija madukani kwenu hatuoni mukizitumia wakati ni kama mumerahisishiwa mzigo,
Shusheni uzoefu wenu kwanini still munatumia local way badala ya modern ways[emoji120]

View attachment 2984300
1. Bei za hizi software huwa zinakuwa mzigo kwa watumiaji. Unakuta unaulizia unaambiwa utalipia milioni 3 cash halafu kila mwezi unalipia laki mbili au unaambiwa kila mwaka utalipia milioni moja na nusu. Sasa utapata wapi mfanyabiashara mdogo na wakati atakaevutiwa na huo utaratibu wakati rekodi zake anaweka kwenye kauntabuku na mambo yanaenda.

Bei zingekuwa ni rafiki na zinasaidia biashara kukua then wafanyabishara wengi wangejoin kutumia.

2. Wauzaji wa hizi software sio watoa huduma bali watafuta pesa. Unakuta hana mazungumzo ya ziada ukimuonyesha haupo tayari kununua sababu hauna taarifa zaidi na hauelewi cha kufanya. Yeye anakupuuza na kukuona msumbufu. Matokeo yake project zinadoda.

Nadhani customer care na pursuing ipo chini sana watu wa IT wanadharau sana majority na wanajipaga umuhimu ambao haupo. Unaona hata website ni kitu simple sana kwa mtu wa IT kufanya na hakimgharimu chochote kuanza kutengeneza ila ataanza hapo "lipia nusu ya gharama nikutengenezee" nusu ya gharama unakuta ni laki tano.
Nani anataka kulipia kitu ambacho kwanza hana uzoefu nacho, anayemtengenezea anampa bili kubwa na kumtaka alipe before hajapata huduma na kuona inafanyaje maajabu kwenye biashara yake. Watu wa IT wanaishia kuzeeka na taaluma yao na wafanyabishara maisha yanaendelea kama kawaida.

3. Elimu ndogo sana juu ya matumizi na faida ya software hizi. Wauzaji wangejikita zaidi huko baada ya miaka kadhaa software zitakuwa popular na watu watazipenda. Huwezi mshawishi mtu kununua kitu ambacho anakiona kama optional kwake.
 
Wakuu Naombeni ushauri katika jambo Moja :-

Kumekuwa na mazoea kwa baadhi ya Mikoa yetu TZ, ukienda kufanya biashara au kampuni, support inakuwa ndogo bcoz sio mzawa wa eneo Lile au mkabila wa pale.

Hasa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro (Samahani )

Naombeni maarifa yenu, unawezaje kutoboa biashara/Kampuni katika Mikoa kama hiyo !?

[emoji22][emoji22][emoji22]
Mikoa ya aina hiyo huwa mara nyingi ni kwasababu ya kuwa ni jamii ya watu wa aina moja au watu wachache hivyo wanakuwa kama hawajiamini na hiyo wanafanya kujilinda wakiamini umekuja kuchukua chochote kwao.

Unatakiwa kuwa na subira nao na kuwapa offer ya vitu ambavyo wao wanapendelea au adimu sana kuvipata baada ya muda wakishakuamini wewe utakuwa miongoni mwao na watakukubali na watanunua kwako.

Hii hali ilikuwapo sana pale Moshi kuanzia miaka ya 2010 kurudi nyuma. Ila kwa bahati nzuri tokea vyuo vifunguliwe kama ushirika, mweka, na vinginevyo, vimechangia movements za wafanyabishara wadogo wadogo maeneo yale na kufungua sana biashara hadi wenyeji nao wameanza kuchangamana na wageni bila shida.

Kipindi cha nyuma ilikuwa ni mziki hata kupata chakula pale moshi maana wakazi wake wanajua kupika mtori na supu tu, hakuna kingine wanachopika.

Maduka yanafunguliwa kwa masaa yaani saa kumi na mbili hadi saa moja halafu wanafunga hadi saa saa tano asubuhi hadi saa saba then ndio imetoka hiyo hadi saa kumi na moja jioni hadi saa mbili usiku kisha hapo hautapata tena huduma ya duka hadi kesho saa kumi na mbili asubuhi.

Ila kuanzia miaka ya 2012 huku ikawa wamekuja wakazi kutoka mikoa mingine kufungua maduka Moshi ndipo tukawa tunapata huduma za maduka saa 24 ndipo wenyeji nao sasa wakaanza fungua maduka muda wote, mini super market zikafunguliwa ikawa ni uhakika wa huduma tunapata.

Migahawa na mama ntilie ikaongezeka na wapishi wa kutoka huko tanga wakaja kuwafundisha wachaga kupika ikawa uhakika wa kupata vyakula vizuri tofauti na zamani chapati hakuna, maandani ya ajabu, yaani ukitoka nje kutafuta vitafunwa unapata ndizi za kukaanga, basi labda uende town kule mbuyuni au stand ndio utapata mikate, keki, na maandazi.
 
1. Bei za hizi software huwa zinakuwa mzigo kwa watumiaji. Unakuta unaulizia unaambiwa utalipia milioni 3 cash halafu kila mwezi unalipia laki mbili au unaambiwa kila mwaka utalipia milioni moja na nusu. Sasa utapata wapi mfanyabiashara mdogo na wakati atakaevutiwa na huo utaratibu wakati rekodi zake anaweka kwenye kauntabuku na mambo yanaenda.

Bei zingekuwa ni rafiki na zinasaidia biashara kukua then wafanyabishara wengi wangejoin kutumia.

2. Wauzaji wa hizi software sio watoa huduma bali watafuta pesa. Unakuta hana mazungumzo ya ziada ukimuonyesha haupo tayari kununua sababu hauna taarifa zaidi na hauelewi cha kufanya. Yeye anakupuuza na kukuona msumbufu. Matokeo yake project zinadoda.

Nadhani customer care na pursuing ipo chini sana watu wa IT wanadharau sana majority na wanajipaga umuhimu ambao haupo. Unaona hata website ni kitu simple sana kwa mtu wa IT kufanya na hakimgharimu chochote kuanza kutengeneza ila ataanza hapo "lipia nusu ya gharama nikutengenezee" nusu ya gharama unakuta ni laki tano.
Nani anataka kulipia kitu ambacho kwanza hana uzoefu nacho, anayemtengenezea anampa bili kubwa na kumtaka alipe before hajapata huduma na kuona inafanyaje maajabu kwenye biashara yake. Watu wa IT wanaishia kuzeeka na taaluma yao na wafanyabishara maisha yanaendelea kama kawaida.

3. Elimu ndogo sana juu ya matumizi na faida ya software hizi. Wauzaji wangejikita zaidi huko baada ya miaka kadhaa software zitakuwa popular na watu watazipenda. Huwezi mshawishi mtu kununua kitu ambacho anakiona kama optional kwake.
Uzi makini sana Mkuu,
Ila now days still zipo app ambazo just unalipa Tsh 10,000/= per month lakini still watu hawatumii.
Tupe uzoefu wa eneo unaloishi hali ipo vipi katika matumizi ya teknolojia hizi 🙏
 
Uzi makini sana Mkuu,
Ila now days still zipo app ambazo just unalipa Tsh 10,000/= per month lakini still watu hawatumii.
Tupe uzoefu wa eneo unaloishi hali ipo vipi katika matumizi ya teknolojia hizi [emoji120]
Nitajie mkuu majina au weka jina la website zao
 
Wakuu Naombeni ushauri katika jambo Moja :-

Kumekuwa na mazoea kwa baadhi ya Mikoa yetu TZ, ukienda kufanya biashara au kampuni, support inakuwa ndogo bcoz sio mzawa wa eneo Lile au mkabila wa pale.

Hasa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro (Samahani )

Naombeni maarifa yenu, unawezaje kutoboa biashara/Kampuni katika Mikoa kama hiyo !?

[emoji22][emoji22][emoji22]
We ni muongo kaka kwakuwa Arusha wanafanya biashara hadi watu wengi na Arusha hakuna hizo pigo za ukabila asee
 
Mkuu niliomba samahani kama kuna mtu nitamkazwa, mimi sio mzawa wa Arusha ila nimeishi kwa miaka zaidi ya minne, nilicho andika ni mtazamo wangu
Mkuu sikupingi uko sahihi kabisa.
Na sio kwenye biashara hata kwenye mambo ya ajira ukienda kufanya kazi Arusha wenyeji wanakupiga vita sana utadhani ni mkimbizi ndani ya nchi yako na unakuwa na kazi nzito ya kutekeleza majukumu yako na wakati huo huo upambane na chuki za wafanyakazi wenzako.
Pia kwenye biashara inabidi utumie nguvu ya ziada kupata wateja mbali na huduma nzuri pia itakubidi ujikombe kwa wenyeji ili wakupe ulinzi na kukutetea uonekane kama mzawa.
Watakaokupinga ni watu ambao either hawajawahi kukaa Arusha au ndio wahusika wenyewe wanajaribu kujitetea na kujisafisha.
 
Back
Top Bottom