Baadhi ya mitandao ya simu nchini wana vifurushi kausha damu

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Husika na kichwa cha habari hapo juu,

Kwanza ningependa ujue mitandao yote ya simu Tanzania ina vifurushi vinavyofanana na kingine kila mtandao na spidi yake.

Sasa kumezuka baadhi ya mitandao ya Haloteli, Airtel, Tigo kuwa na vufurushi vya data ambavyo ni data kausha damu, yaani ukinunua bando likibaki mb 40 hizo hazitumiki, kitu ambacho ni wizi kabisa.

Kule Vodacom hata ukibakiwa na mb 12 unatumia hadi inabaki moja ila hao wengine ni wazee wa umetumia asilimia 75 hivi ili TCRA na Nape Nnauye hawalioni au ndo tuendelee kuibiwa tu nawapongeza sana Vodacom Tanzania?
 

Naunga mkono hoja,
 
Dah! Inaonesha simu yako haina (.) wala (enter).
 
GB moja 2100 hyo mia tunaongezea kwenye next election
 
Sasa kumezuka baadhi ya mitandao ya Haloteli, Airtel, Tigo kuwa na vufurushi vya data ambavyo ni data kausha damu, yaani ukinunua bando likibaki mb 40 hizo hazitumiki, kitu ambacho ni wizi kabisa.
Nakubaliana nawe 200%, halafu kuna vibinti vipumbavu sana viko customer care airtel, nilipiga simu kulalamikia suala hilo vinajibu "ulishaona ATM bank inatoa fedha ndogondogo zilizobaki kwenye akaunti!!" Imagine mtu wa hivyo dawa yake nini kama siyo kutupa line yake chooni
 
Naunga mkono hoja πŸ‘πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…