A Abbyoutfit New Member Joined Jul 31, 2023 Posts 1 Reaction score 0 Sep 6, 2023 #1 Samahan jamn naomba mnisadie ,,Nataka kufungua duka la urembo wa wanawake(cheni ,hereni,pete n.k) duka ambalo sio kubwa sana la kawaida tu samahan iv kwa haraka haraka natakiw niwe na mtaji wa shingap???
Samahan jamn naomba mnisadie ,,Nataka kufungua duka la urembo wa wanawake(cheni ,hereni,pete n.k) duka ambalo sio kubwa sana la kawaida tu samahan iv kwa haraka haraka natakiw niwe na mtaji wa shingap???
Dr Matola PhD JF-Expert Member Joined Oct 18, 2010 Posts 60,050 Reaction score 104,466 Sep 6, 2023 #2 Nilichogunduwa Bongo hatuwatumii consultant, kila mtu anataka mseleleko kwenye mambo yake.