Vladivostok
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 307
- 1,387
Hawa waarabu wajanja wamejifunza kwa dubai wanataka kutengeneza uchumi usiotegemea mafuta.sema itabidi walegeze sheria.Moja ya faida wanayoipata ni mfano wa hii thd imefunguliwa ili kuiongelea Saudi Arabia,
Ni Marketing stunt,hela zitarudi ila sio leo.
Ronaldo.ivi kati ya ronaldo na neymar huko saudia nani analipwa mkwanja mrefu kama mshahara
Hawa waarabu wanofanya haya mambo wana malengo yao ila kwa upande wangu mm naona hawa waarabu wanakosea sana wakati wenzako wanakufa njaa pale syria ww unafanya upumbavu huu Kwa ajili ya mpiraNeymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.
Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;
1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.
2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.
3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650
4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana
5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.
6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar
7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.
8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.
9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.
10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.
Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.
Sijawahi kufika Saudia,. lakini MBS angekuwa na akili angejifunza kwa Israel badala ya kuendekeza mambo ambayo siyo productive kitaifa bali ni starehe ya macho tu. Awekekeze kwenye elimu, utafiti na kutransform jangwa kuiwa productive land kama Israel ilivyofanya. Kwa utajiri wao wa mafuta wakiwekeza kwenye maeneo hayo ataiendeleza sana Saudia kuwa Taifa la kuogopwaHuyu mbs anataka Nini lkn? Ila saudia panaboa sana
Yote mawili yanaweza kwenda pamoja,ndio maana wameanza na hiyo kama marketing stunt.Sijawahi kufika Saudia,. lakini MBS angekuwa na akili angejifunza kwa Israel badala ya kuendekeza mambo ambayo siyo productive kitaifa bali ni starehe ya macho tu. Awekekeze kwenye elimu, utafiti na kutransform jangwa kuiwa productive land kama Israel ilivyofanya. Kwa utajiri wao wa mafuta wakiwekeza kwenye maeneo hayo ataiendeleza sana Saudia kuwa Taifa la kuogopwa
Thubutu kwa tabia za kiafrika unarabuni hautoboiWanataka waipindue ulaya , ni suala la muda tu, Waafrika tutaanza kutafuta visa za kuzamia uarabuni kutafuta ndoto zetu...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji39][emoji39][emoji39]
kujenga institutions imara za elimu na utafiti siyo kitu cha kujenga siku moja kwamba tuanze na marketing stunts halafu ndipo tugeukie upande huo. Angalia Iran ambayo ilijenga institutions imara za elimu na hivyo pole pole zikaimarika na kujenga watafiti wengi wa ndani. Pamoja na vikwazo wanavyopata lakini hata Urusi anaenda kuwaomba misaada ya vifaa vya kijeshi. Sasa hivi Irani wanajitosheleza kwa karibu kila kitu kutokana na utafiti wao ndani hata bila kufanya marketing stunts zozote.Yote mawili yanaweza kwenda pamoja,ndio maana wameanza na hiyo kama marketing stunt.
Matumizi mabaya yanaongoza kwa kutoa ajira.Matumizi mabaya ya pesa haya.[emoji2955]
Waendeleee tu na mipango yao ya kuipindua Ulaya. Ulaya na sasa hawa Waarabu wote lao moja; kutupeleka kuleeee...kwenye NWO kuliko na dini moja feki, na hata japo hizi zilizopo zitaendelea kuwepo ila zitakuwa feki sana (Ukristo oya oya, Uislamu tia maji tia maji,n.k).Wanataka waipindue ulaya , ni suala la muda tu, Waafrika tutaanza kutafuta visa za kuzamia uarabuni kutafuta ndoto zetu...ππππππ
Kamati ya maoni mmeanza kaziMatumizi mabaya ya pesa haya.π€¨
Wafanyakazi wanane na magari tisa kwa mujibu wa BBC Sports.Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.
Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;
1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.
2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.
3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650
4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana
5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.
6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar
7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.
8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.
9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.
10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.
Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.
Kwani ame enda kua Sheikh au mchezajiNeymar anakula sana kitimoto na ulabu kama wote, kwahiyo hivyo navyo club yake itavilipia? Ni halal klabu ya Al Hilal inayomilikiwa na kuongozwa na Waislam ilipie najis hizo? Au mnasemaje waja wa 'Mnyaazi Mungu' wenzangu?
Waarabu washa anza kugundua kuendekeza dini ni ujingaWaendeleee tu na mipango yao ya kuipindua Ulaya. Ulaya na sasa hawa Waarabu wote lao moja; kutupeleka kuleeee...kwenye NWO kuliko na dini moja feki, na hata japo hizi zilizopo zitaendelea kuwepo ila zitakuwa feki sana (Ukristo oya oya, Uislamu tia maji tia maji,n.k).
Hawa Athletes wanaenda Saudia ,palipo na kitovu cha Uislamu, wakiwa na lifestyles zao ambazo hawataziacha (japo baadhi ya hao wenye majina makubwa watasilimu na kujiunga na dini ya haki, ila upagani wao mwingi hawataziacha na wataupandikiza ndani ya maisha ya Waislamu). Saudia inaenda kuwa na Uislamu wa hovyo sana.
Hiyo namba 7 umefanya nicheke Tu mwenyewe [emoji28]Neymar Jr ameondoka katika soka la ulaya akiwa na miaka 31 tu. Ameenda zake Saudi Arabia kuungana na mastaa wengine waliokimbilia katika ligi hiyo.
Baadhi ya ofa ambazo Neymar atazipata katika mkataba wake huko katika klabu yake ya Al Hilal.
Ofa hizo ni kama ifuatavyo;
1. Jumba la kifahari lenye vyumba takribani 25 na Jumba hilo lina bwawa kubwa la kuogelea (Swimming Pool) lenye mita 40x10 na vymba vitatu vya sauna.
2. Wafanyakazi watano ambao watakuwa wapo masaa 24 kwaajili ya Jumba la Neymar.
3. Gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT ambalo thamani yake ni sawa na Tshs. Milioni 650
4. Gari la pili ambalo ni Aston Martin DBX ambalo ni miongoni mwa magari ya gharama sana
5. Gari la tatu ambalo ni Lamborghini Huracan. Gari la kisasa zaidi.
6. Dereva atakayekuwa yupo muda wote kwa ajili ya kumuendesha Neymar
7. Atakuwa analipiwa gharama zote za hotelini, migahawani kipindi chote atakapokuwa likizo. Yaani mfano akienda Ibiza huko kipindi cha likizo basi gharama zote zitalipwa na klabu yake.
8. Ndege binafsi ambayo ataweza kuitumia popote atakapotaka kwenda kwa gharama za klabu.
9. Atapatiwa Euro 500,000 ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 1 na Milioni mia tatu na hamsini na saba atakapokuwa anapost kuhusu nchi ya Saudi Arabia katika mitandao yake ya kijamii kama vile Instagram.
10. Mshahara wa Euro Milioni 100 kwa Mwaka ambazo ni sawa na Tshs. Bilioni 273 kwa mwaka mmoja tu.
Kwa ofa ya namna hiyo na kwa Neymar ambaye hakuwa na muendelezo mzuri, hatuwezi kumlaumu acha akavune pesa tu. Pesa inafanya dunia izunguke.