Baadhi ya sababu zinazosababisha Wasichana kukosa Wachumba wa kuwaoa

Ni vyema kila Ntu akakumbuka ile maana ya nchawi wa ntu niNtu mwenyewe. Maana yake matendo ya Ntu ndiyo yanayoamua hatma yakeπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
Dharau wakiwa under 25 yrs
 
Kupga vizinga vya kuanzia 20,000 na kuendelea wakat bado hamna msingi wa kimahusiano

Mmepean number once mkakutana lunch or dinner tayar siku 3 mbele kiznga 50,000+ *****

Nduuuuuuuk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…