mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,291
- 342
"Stiegler" jina la kijerumani, na kikoloni na leo linatumika hata katika mpango wa umeme "stiegler's gorge" na hata kulipa umilikishi wa sehemu kwa stiegler's hivi hakuna majina ya kitanzania hadi muuite hivyo. Ebu tuacheni fikara potovu tuite jina halisi la kwetu. Hilo neno naimani hata Magufuli hawezi kulitamka vizuri. Kwanini mnataka kumsumbua hata rais wetu kutamka hadi aume meno wakati kuna chakula cha kutosha kwa sasa. Tafadhari badilini jina fasta hata kama iweje. Ifuatwe mila na desturi zetu.
Nawakilisha.
Nawakilisha.