Baadhi ya selection za nacte hazijapelekwa vyuo husika.

Baadhi ya selection za nacte hazijapelekwa vyuo husika.

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,130
Reaction score
2,102
Nawapongeza NACTE kwa kutoa seletions, Lakini baadhi ya waliochaguliwa majina yao hayajapelekwa vyuo husika. kuna walioangalia profile zao na kukuta wamechaguliwa kwenda IRINGA UNIVERSITY na RUCO lakini walipokwenda kwenye vyuo husika kufatilia admission letter wakaambiwa hawatambuliki na majina yao hayako kwenye orodha waliyopewa. mwenye uwezo wa kutoa msaada kwa hili naomba awasaidie kundi hili ili waweze kupata haki zao. pia izingatiwe kuwa wengi wao ni wafanyakazi wa umma hivyo wanahitaji admission letter haraka ili wazitumie kuombea ruhusa. nawatakia utendaji mwema na MUNGU awabariki.
 
Nawapongeza NACTE kwa kutoa seletions, Lakini baadhi ya waliochaguliwa majina yao hayajapelekwa vyuo husika. kuna walioangalia profile zao na kukuta wamechaguliwa kwenda IRINGA UNIVERSITY na RUCO lakini walipokwenda kwenye vyuo husika kufatilia admission letter wakaambiwa hawatambuliki na majina yao hayako kwenye orodha waliyopewa. mwenye uwezo wa kutoa msaada kwa hili naomba awasaidie kundi hili ili waweze kupata haki zao. pia izingatiwe kuwa wengi wao ni wafanyakazi wa umma hivyo wanahitaji admission letter haraka ili wazitumie kuombea ruhusa. nawatakia utendaji mwema na MUNGU awabariki.

Ndugu kama unaaccount ya fb,like page yao halafu uwatumie msg yenye swali lako. Ndani ya muda mfupi watakujibu... Wako shapu sana.
 
Back
Top Bottom