Tzhacker 000
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 659
- 689
WHATSAPP Yatoa Tamko kufungia Baadhi ya Simu janja zisitumie mtandao huo ifikapo Dec 31 mwaka huu (2017).
Simu janja hizo ni kama vile 'BLACKBERRY OS', 'BLACKBERRY 10' & WINDOW 8.0 Na simu zingine Aina hizo zote za Matoleo ya Nyuma zinazotumia mfumo wa OS !!
Whatsap imesema Watumiaji wa simu zote za aina hio pamoja na walio na matoleo ya simu janja za hapo Awali hataweza tena kutengeneza Account za Whatsap Au kurejesha akaunti zao hizo pale tu kampuni litakapo fungia huduma hio.
Ikumbukwe hapo Awali whatsap ilitoa tamko kuwa itafungia vifaa hivyo vilivyo Nyuma na mda /matoleo ya zamani. Kufungiwa kwa Simu janja zote za toleo la nyuma Hai maanishi kuwa Wenye simu hizo watashindwa kutumia whatsapp Hapana Watatumia App ya Whatsapp iliyondani katika simu zao ila Watakosa huduma hizi.
1:Hawatopata Updates
2:Account zao hazitokuwa na ulinzi tena (Chat na Taarifa ya mtumiaji zitakuwa nje nje )
3:Features mpya N.k
kitu ambacho sio kizuri kabisa
Lakini kwakua Windows 8.0 hapo mwakani wanatarajia kutoa version Mpya ya 8.1 whatsap wamesema watarudisha huduma katika simu janja hizo. ukiachilia mbali Kampuni la Microsoft kukiri kuwa Simu za window hazitokuwa tena katika soko.
Kwa upande wa kampuni la Blackberry wao wamesema SEE MORE
Simu janja hizo ni kama vile 'BLACKBERRY OS', 'BLACKBERRY 10' & WINDOW 8.0 Na simu zingine Aina hizo zote za Matoleo ya Nyuma zinazotumia mfumo wa OS !!
Whatsap imesema Watumiaji wa simu zote za aina hio pamoja na walio na matoleo ya simu janja za hapo Awali hataweza tena kutengeneza Account za Whatsap Au kurejesha akaunti zao hizo pale tu kampuni litakapo fungia huduma hio.
Ikumbukwe hapo Awali whatsap ilitoa tamko kuwa itafungia vifaa hivyo vilivyo Nyuma na mda /matoleo ya zamani. Kufungiwa kwa Simu janja zote za toleo la nyuma Hai maanishi kuwa Wenye simu hizo watashindwa kutumia whatsapp Hapana Watatumia App ya Whatsapp iliyondani katika simu zao ila Watakosa huduma hizi.
1:Hawatopata Updates
2:Account zao hazitokuwa na ulinzi tena (Chat na Taarifa ya mtumiaji zitakuwa nje nje )
3:Features mpya N.k
kitu ambacho sio kizuri kabisa
Lakini kwakua Windows 8.0 hapo mwakani wanatarajia kutoa version Mpya ya 8.1 whatsap wamesema watarudisha huduma katika simu janja hizo. ukiachilia mbali Kampuni la Microsoft kukiri kuwa Simu za window hazitokuwa tena katika soko.
Kwa upande wa kampuni la Blackberry wao wamesema SEE MORE