Baadhi ya viongozi wa Afrika wakienda Marekani wanakaa hoteli za kifahari

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Hatari kweli viongozi wa Bara la Afrika Tanzania ni mojawapo, wakija mjini New York nchini Amerika, wanatumia pesa nyingi kukaa katika mahoteli ya kifahari kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa aka UN. Wakati wananchi wao wanakufa na njaa na umasikini majangaa kweli hayo.

Your browser is not able to display this video.
 
Hata wakilala lodge still watu wataendelea kufa njaa, standard ya uraisi inatakiwa izingatiwe , mambo mengine huwa yapo tuu.... Yesu alisema maskini mnao sku zote
 
Duuuh! nchi tamu sana hii,ukiipatia.
 
Safii Sana wazungu,,uhuru wa kuhoji.Wasimangeni Hao labda wataacha..Good job .Safiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…