Unadhani Simba ni wajinga kiasi hicho?Hivi vipengele wamesaini na Yanga tu?
Simba ipi ya Kenya au hii walioitwa mambumbu na Mwenyekiti mstaafu?Unadhani Simba ni wajinga kiasi hicho?
Mkuu! Mbona unapotosha watu?
Leta mkataba genuine na sio hiki kipande kilicho fanyiwa editing kutoka Kwenye mkataba ule wa Manji.
Msiangaike Sana jamani! Mkataba nimeusoma na hakuna vipengele vya namna hiyo.
Maana mkataba wa hivi mbona wa ajabuNimeshangaa sana kuona mkataba wa namna hiyo.
Hakuna mkataba wa namna hiyo!Nimeshangaa sana kuona mkataba wa namna hiyo.
Hakuna mkataba wa namna hiyo!
Aliyefanya editing amechukua baadhi ya vipengele vya mkataba uliokiwa usainiwe baina ya Yanga na QG.
Hayo ndo mambo mkuu. Watu hawasomi original bali wanaedit na kuleta thread za uongo.Mkuu! Mbona unapotosha watu?
Leta mkataba genuine na sio hiki kipande kilicho fanyiwa editing kutoka Kwenye mkataba ule wa Manji.
Msiangaike Sana jamani! Mkataba nimeusoma na hakuna vipengele vya namna hiyo.
Nashangaa kuona shabiki wa Simba anaandika suala kama hili kwa namna ya kama kukashifu upande wa pili...Hayo ndo mambo mkuu. Watu hawasomi original bali wanaedit na kuleta thread za uongo.
Hapana! Kwenye ule mkataba QG ndio waliotaka kujipa mamlaka ya wao kuingia mkataba na wadhamini wengine, na isiwe Yanga ambayo inayoingia mikataba na wadhamini wengine..Kwahiyo QF walitaka kuifunga Yanga wasiweze kuingia mikataba na makampuni mengine?
Mkataba halisi uoneshwe ili kuondoa hizi twashishiMaana mkataba wa hivi mbona wa ajabu
Eti mkataba tena kwa timu kubwa unasema MARUFUKU, dah!Mkuu! Mbona unapotosha watu?
Leta mkataba genuine na sio hiki kipande kilicho fanyiwa editing kutoka Kwenye mkataba ule wa Manji.
Msiangaike Sana jamani! Mkataba nimeusoma na hakuna vipengele vya namna hiyo.