DOKEZO Baadhi ya vituo vya mafuta huacha kuuza mafuta siku moja kabla ya bei mpya kila mwezi kutangazwa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna tatizo kubwa kwa upande wa biashara ya mafuta, mfano leo 4 March 2025 (kila Jumanne mwanzo wa mwezi, wiki ya kwanza, kabla bei ya mafuta haijatajwa kama itashuka au itapanda), makampuni mengi ya mafuta mfano Oryx huacha kuuza mafuta kabisa, inaweka watu, ila haitoi huduma, na bei ya kupanda au kushuka inajulikana kabla ya Jumatano

Kwanini bei hiyo ijulikane kabla ya Jumatano, Serikali imeshindwa kuweka bei hio siri?, kwanini makampuni yanayositisha huduma ya mafuta zisipewe faini, kwanini makampuni makubwa yatuendeshe kiasi hicho?
 
Huu ni ukweli ulio uchi.
 
Ukweli kabisa. Wahusika wafuatilie. Nadhani ni issue ya EWURA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…