Baadhi ya viwanda vitakavyofunguliwa hivi punde

masupio

Senior Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
179
Reaction score
201
Serikali katika juhudi zake za kutengeneza mazingura ya kufikia uchumi wa kati ifikapo 2025 utakao endeshwa na mapanduzi ya viwanda yafutayo ni matunda to mention but few
Kiwanda cha kusindika matunda kitakachofunguliwa soon eneo la mboga chalinze
 
Kiwanda cha kutengeneza nondo kilichopo mlandizi kinaitwa Kiluwa Steel Industry kinatengeneza tones of steel per day kwa internal use and export
 
Kiwanda cha ku assemble trectors kilichopo Kibaha eneo la TAMCO. Wakulima tukae mkao wa kula kwani trekta za kisasa zilizotengenezwa kukidhi mazingira ya nyumbani zinafyatuliwa kila siku
 
Na huku Kagera tujengewe kiwanda cha kutengeneza bati.Madini ya bati yanapatikana huku.
 
Kumbe Sound za Mwijage anazopiga kila siku zinasaidia...
 
Na huku Kagera tujengewe kiwanda cha kutengeneza bati.Madini ya bati yanapatikana huku.
Viwanda vinakuja kwa watu wa Kagera tena siyo vya mabati tuu, mpango uliopo ni wakusambaza viwanda ukanda huo vya kutosheleza soko la ndani na ku supply bidhaa nchi za Congo, Burundi Rwanda mpaka South Sudan.
 
Hao wanalipwa na mabwana zao kupinga kila kitu hawakawii kusema hizo picha zilipigwa Kenya
Unajishitukia wewe! kumbe hata wewe una wasiwasi na hizo picha sababu uhalisia hujauona? Hayo majengo yapo muda mrefu lakini hayafanyikazi ngoja vifunguliwe ndipo mseme au ukiwa na cherahani NNE ni kiwanda kidogo?
 
Nakupa habari nyingine amaboyo hujui, kuanzia Dec, 2015 Serikali imefanikisha ujenzi wa Viwanda vikubwa zaidi ya 390 vyenye mtaji wa kuanzia shilingi bilioni 1.5 kwa kila kiwanda. Vitafunguliwa speed utafurahi mwenyewe
 
Nakupa habari nyingine amaboyo hujui, kuanzia Dec, 2015 Serikali imefanikisha ujenzi wa Viwanda vikubwa zaidi ya 390 vyenye mtaji wa kuanzia shilingi bilioni 1.5 kwa kila kiwanda. Vitafunguliwa speed utafurahi mwenyewe
Hicho cha juice ni cha kampuni gani kiongozi?
 
Kumbe ule msemo wa Mwijage anatembea na viwanda vyake mfukoni kila akiona camera anaanza kuvichomoa ni batili eeh?

Hongera Mwijage kazi yako si mchezo
 
Hakuna shida kwani tz ukiwa na vichwa 2 vya cherehani tayari ni kiwanda!!!! yaani poa sana..
 
Viwanda vitafunguliwa, kwenye maelezo kimoja tu kinaonyesha kitafinguliwa vingine vipo vinafanya kazi. Kumbe kupata 7000 ni kazi kubwa hv??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…