Baadhi ya wahasibu ni changamoto kubwa kwenye Taasisi. Wakati wote wakitafutwa majibu ni “Wako Benk” kutwa nzima

Baadhi ya wahasibu ni changamoto kubwa kwenye Taasisi. Wakati wote wakitafutwa majibu ni “Wako Benk” kutwa nzima

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kinachowafanya msilipe pesa kwa watu kwa wakati ni nini? Pesa unakuta zipo lakini mtu hatoi makusudu.

Ofisi muda wote imefungwa basi mnakaa nje ya ofisi yake muda wote kumsubiri yeye tu.

Anakuja kutoa kwa wakati wake.

Halafu muda wote wakitafutwa unaambiwa wako Benk.

Na kutoa pesa kwa kujivuta sasa Jamani.

Mnajikutaga nyie ni nani jamani?

Toeni pesa chap chap mnatesa watu Jamani kwa nini?
 
Halafu mkuu bank Kule huwa hazifungwi saa kumi huwa mpka saa moja basi tu kama unavyosema shida haipo kwenye deposit ipo kwenye kupeleka cheque.
 
Huwaga wengine wanataka "kitu kidogo" ili wakufanyie kazi yako.
 
Sio wote ila wahasibu wengi wana tabia hizo na wanatengeneza mazingira uwatoe chochote. Pole mkuu
 
Back
Top Bottom