Baadhi ya Wahudumu wa guest wanagawa kuliko hata wahudumu wa bar

Baadhi ya Wahudumu wa guest wanagawa kuliko hata wahudumu wa bar

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Aisee ukimkuta mdada anayepokea wateja guest amevurugwa anagawa wastani bila idadi unakuta mko wanaume watano vyumbani na wote mnatembelewa kila mtu Kwa muda wake yaani Mpaka yule wa mwisho wa alfajiri kashaelekezwa Mida yake.. Kuna siku tumeenda lodge fulani ya kibwege ubwege milango yake usiku ikifungwa na kufunguliwa inatoa sauti. Usiku kucha shwaaaa shwaa milango Kaka ikifungwa huu haipiti nusu saa mwingine umefunguliwa kesho safarini ndani ya gari watatu katika team wakakiri wamekula Tena mmoja ndo anadai alikumbuka kondomu.. Tofauti na baadhi ya ma bar maid wanadanga ila kistaraabu Kwa wastani kila siku atataka atoke na mtu mmoja pekee baada ya kumaliza kazi.
 
AMEBARIKIWA MWANAUME YULE ASIE WAZA UZINZI KICHWANI MWAKE NA KUUDHIBITI MWILI WAKE DHIDI YA TAMAA MAANA YEYE NI RAFIKI WA KRISTO BABA.
Wewe Yuda utaambia nini watu!😂juu mwenyewe ulimsaliti ......
 
Huu uzi nausoma nikiwa nimejilaza kwa lodge na kuna wadada wawili ambao kwa muda niliokaa hapa nishajua ni wahudumu.

Mmoja wa usafi mwingine anakusanya maokoto, asubuhi ya leo mlango uligongwa ile nafungua nakutana na mdada wa usafi. Namna alivyovaa nikiri kama huna self control ni kuvuta ndani unapewa bei elekezi kazi kwisha.

Hapa nilipo nakomaa kibishi vita ni kali hali ya huku Daslam kwenu toka jana na leo ni baridi namna hii ni kuzidisha maombi vinginevyo UTI sugu itanivaa na nisivyopenda kula na maganda daahh!!
 
Aisee ukimkuta mdada anayepokea wateja guest amevurugwa anagawa wastani bila idadi unakuta mko wanaume watano vyumbani na wote mnatembelewa kila mtu Kwa muda wake yaani Mpaka yule wa mwisho wa alfajiri kashaelekezwa Mida yake.. Kuna siku tumeenda lodge fulani ya kibwege ubwege milango yake usiku ikifungwa na kufunguliwa inatoa sauti. Usiku kucha shwaaaa shwaa milango Kaka ikifungwa huu haipiti nusu saa mwingine umefunguliwa kesho safarini ndani ya gari watatu katika team wakakiri wamekula Tena mmoja ndo anadai alikumbuka kondomu.. Tofauti na baadhi ya ma bar maid wanadanga ila kistaraabu Kwa wastani kila siku atataka atoke na mtu mmoja pekee baada ya kumaliza kazi.
Mkuu wa wilaya Ubungo kazi anayo!
 
Aisee ukimkuta mdada anayepokea wateja guest amevurugwa anagawa wastani bila idadi unakuta mko wanaume watano vyumbani na wote mnatembelewa kila mtu Kwa muda wake yaani Mpaka yule wa mwisho wa alfajiri kashaelekezwa Mida yake.. Kuna siku tumeenda lodge fulani ya kibwege ubwege milango yake usiku ikifungwa na kufunguliwa inatoa sauti. Usiku kucha shwaaaa shwaa milango Kaka ikifungwa huu haipiti nusu saa mwingine umefunguliwa kesho safarini ndani ya gari watatu katika team wakakiri wamekula Tena mmoja ndo anadai alikumbuka kondomu.. Tofauti na baadhi ya ma bar maid wanadanga ila kistaraabu Kwa wastani kila siku atataka atoke na mtu mmoja pekee baada ya kumaliza kazi.
Sema nini mwana, wewe umekutana na wa gesti, wengine wamekutana na wa bar, wapo waliokutana na manesi, etc. Usipoingia kwenye anga zao, unaweza dhani ni watakatifu.
 
Back
Top Bottom