Propaganda mfu za chama cha Mapinduzi.
Ata wakati wa makaburu kuna weusi walikuwa wanaunga mkono sera za makaburu na utawala wa ubaguzi wa rangi.
Linatumika kama toilet paper alafu likienda hospitali linakosa dawa. Linatumika kama toilet paper alafu hata nyumbani kwake hana maji ya uhakika.
Muulizeni tangu lini CHADEMA na Lissu wameunga mkono ushoga? Au ndo amelipwa elfu 20 kuongea upuuzi wake?
Muulize Mabeberu ndo wamempoteza Mzee Kibao? Mabeberu ndo walimuua Ben Saanane? Au mabeberu ndo walimpiga risasi Tundu Lissu?