A
Anonymous
Guest
Baadhi ya wakuu wa shule hasa zile kongwe na zinazofanya vizuri katika mitihani ya taifa ambazo ni za umma wamekuwa ni kero kubwa sana. Wamekuwa wakiwatoza fedha baadhi ya wanafunzi wanaotaka kuhamia kwenye shule hizo.
Baadhi yao wanawatoza wazazi shilingi Laki 1 hadi Laki 5 ili waweze kupata nafasi ya kuhamia kwenye hizo shule.
Wamekuwa wakitumia neno NAFASI ZA KUHAMIA ZIMEJAA ili kupiga pesa. Mfano wanafunzi waliopangiwa kwenda combination za arts lakini wanataka kwenda kusoma sayansi wengi wamekumbana na kadhia hii.
Vilevile wanafunzi wengi waliopangiwa shule mpya na zile zilizoko pembezoni wamekimbilia kwenye hizo shule kongwe na zilizoko mjini kwa hiyo Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la kipekee sana hususan TAMISEMI
Baadhi yao wanawatoza wazazi shilingi Laki 1 hadi Laki 5 ili waweze kupata nafasi ya kuhamia kwenye hizo shule.
Wamekuwa wakitumia neno NAFASI ZA KUHAMIA ZIMEJAA ili kupiga pesa. Mfano wanafunzi waliopangiwa kwenda combination za arts lakini wanataka kwenda kusoma sayansi wengi wamekumbana na kadhia hii.
Vilevile wanafunzi wengi waliopangiwa shule mpya na zile zilizoko pembezoni wamekimbilia kwenye hizo shule kongwe na zilizoko mjini kwa hiyo Serikali ilitazame jambo hili kwa jicho la kipekee sana hususan TAMISEMI