KERO Baadhi ya Walimu wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) wanalazimisha wanafunzi watoe michango ya mahafali

KERO Baadhi ya Walimu wa Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) wanalazimisha wanafunzi watoe michango ya mahafali

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Waalimu UDOM wanalazimisha wanafunzi kutoa hela ya mahafali. Mahafali yenyewe siyo ya lazima tunajua mahafali ya chuo ndo ipo November na siyo lazima nifanye.

Lakini baadhi ya walimu Wana taka wanafunzi walipie Kutokana na program zao. Wanatishia usipotoa mchango tutakutana na chochote.

Hiyo chochote anaweza akakupa carry au supplementary.
 
✍️✍️

Ndugu naombeni tuweze kuweka sawa please maelekezo.

Iko hivi, kwa members ambao hawataki kushiriki kufanya mahafali ya BeD wao watatoa shilingi 10000 kama kusapoti sherehe ila kwa wale wanaohitaji kufanya sherehe ni 20000/=

Ila shilingi 10000/=ni lazima kwa kila mtu ambaye hataki kushiriki kufanya sherehe, nadhani mmesikia wenyewe kitakachotokea baada ya watu kushindwa kutoa hela hiyo ya mahafali ya bed.

Naombeni sana tusisitize watu wetu tafadhali na pia tusilete matani katika hili please.
Asante nawatakia utekelezaji mwema kwenu.
 
Bila shaka hiyo ni CoED na ma cr ndio wamewapiga bit kwa kisingizio Cha walimu ndio wamesema wewe jiongeze wewe watakufanya nn sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila UDOM khaaaah
 
Ila wasomi wa nchi hii bwana, hivi kweli mtu wa chuo kikuu alapelekeshwa na CR plus mkufunzi wake zinamtosha kweli?
 
Back
Top Bottom