Elections 2010 Baadhi ya wana-CCM Arusha wajiandaa kufanyakazi na utawala mpya wa Dr. Slaa!!!!



Nchi ni yetu wote. Kwa nini watu wengine wafikirie kwamba wao wana HAKI ZAIDI ya kuitawala kuliko wengine? Wametawala miaka 50, wameshindwa kuiendesha. Sasa udereva apewe mwingine mwenye uwezo. Dk. Slaa ameonesha anaweza. Hata Hayati Mwalimu angekuwapo ANGEMKABIDHI NCHI na hawa wachachuaji wa kura wasingekuwa na la kusema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…