KERO Baadhi ya Wanachuo UDOM hawajapata pesa za kujikimu kwa sababu taarifa zao hazijatumwa kwenda Bodi ya Mikopo

KERO Baadhi ya Wanachuo UDOM hawajapata pesa za kujikimu kwa sababu taarifa zao hazijatumwa kwenda Bodi ya Mikopo

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Chuo Kikuu cha Dodoma hakijapeleka baadhi ya taarifa za wanafunzi kwenda Bodi ya Mkopo, mpaka hivi sasa karibu asilimia 40 ya Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza hawajapata fedha zao za kujikimu, na pia kuna baadhi ya course.

Kwa wale continuous hawajapata pesa zao pia, kila tukijaribu kuwasilisha malalamiko Kwa loan officer wa chuo anasema atashughulikia.

Hii ni week ya nne sasa.
 
Kawaida huwa ukisign didis unasubiri kama week moja au mbili ili utumiwe messages ya wewe kuconfirm pesa yako

Unaenda helsb app na kusign kwahiyo tulia majina yanapelekwa kwa awamu
 
Chuo kikuu cha Dodoma hakijapeleka baadhi ya taarifa za wanafunzi kwenda bodi ya Mkopo, mpaka hivi sasa karibu asilimia 40 ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza hawajapata fedha zao za kujikimu, na pia kuna baadhi ya course

Kwa wale continuos hawajapata pesa zao pia, kila tukijaribu kuwasilisha malalamiko Kwa loan officer wa chuo anasema atashughulikia

Hii ni week ya nne sasa.
Mbona hiki chuo kina kero nyingi sana. Kuna shida kwenye uongozi. Uongozi ufumuliwe
 
Kila siku serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu zinatoa pongezi Kwa mama juu ya swala zima la kupewa mikopo inapokuja hoja kama hiyo ya kukosa pesa za kujikimu ni kipengele Sasa Kam viongozi wenu ambao walipaswa kuwapigania ndo wamelamba asali muendelee kuvumilia mvumilivu hula mbivu
 
Kila siku serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu zinatoa pongezi Kwa mama juu ya swala zima la kupewa mikopo inapokuja hoja kama hiyo ya kukosa pesa za kujikimu ni kipengele Sasa Kam viongozi wenu ambao walipaswa kuwapigania ndo wamelamba asali muendelee kuvumilia mvumilivu hula mbivu
 
Kila siku serikali za wanafunzi wa vyuo vikuu zinatoa pongezi Kwa mama juu ya swala zima la kupewa mikopo inapokuja hoja kama hiyo ya kukosa pesa za kujikimu ni kipengele Sasa Kam viongozi wenu ambao walipaswa kuwapigania ndo wamelamba asali muendelee kuvumilia mvumilivu hula mbivu
Una uhakika na unayozungumza
 
Back
Top Bottom