Haha lol eti nyege kabisaaYaani kuna majina ambayo hayana hata msingi. Nakumbuka nilienda field huko vijijini usukumani nikakuta mtoto wa darasa la nne anaitwa NYEGE. Sikukubali hadi nilienda kwa mama yake nikamuuliza kulikoni mtoto kumuita hivyo, akajibu eti, mtoto alilia hilo jina (mizimu) ilitaka aitwe hivyo ni jina la babu zake wa zamani.
Ngoja nifukue uzi wangu niku tagi niliweka mrejesho hapa. hahahahahahHaha lol eti nyege kabisaa
Seleman Bungara BwegePia bwege sio official name jina lake selemani bungara
Yule jamaa inawezekana kasoma sana vitabu vya Shakespeare.Pia bwege sio official name jina lake selemani bungara
Hata ya kizulu yana afadhali mkuuDahhh ni hapahapa Tanzania?majina kama yakizulu...
For their social psychological engagement haijakaa sawa kabisa. They'll get bullied every now and thenSasa wafanyeje?
Matusi ya nini tena vijana?Hahahahahha yamekupanda au sio? ansante kwa tusi lako hauna tusi jingine jipya?!!! Maana hayo tumeyazoea
Sawa mkuu nimekuelewaInfantry Soldier umejifunza nini hadi hivi sasa ' Uzi ' wako huu mrefu umekosa hata ' Like ' moja tu?
Mkuu, unahisi majina hayo ni ya watu wa kabila gani kwa maana sijawahi kuyaona hapo kabla??Hayo majina asilia yanakuwa na maana tofauti kwa lugha zao, na hata matamshi ni tofauti fresh tu.... ukoloni umewameza nyie mnaona majina ya asili ni matusi.
Hili jina hakupewa na wazazi wake, bali kajipa mwenyewe kama a.k.a. Jina lake halisi ni Mhe. Selemani Bungara.Unamfahamu mh mbunge anaitwa bwege
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kibosho-umbwe ndio huko KIBORO roni?