Mkuu usichanganye Utandawazi, Kiswahili na Lugha za Asili hayo majina mengi yana maana zake kwa asili na ywezekana Kiswahili pia , wewe unasoma kwa Kiswahili pekee ndio maana inakuletea taabu ( tena ni kwa kuwa wewe una majina ya Wakoloni) Mbona majina ya Wakoloni huoni ubaya wake Mfano John Stones( Stones= Mawe), Daniel Drinkwater( Maji ya Kunywa), Danny Rose, Raheem Sterling, Kelvin Trippier, Calum Chambers, Snodgrass, Westgate, Eastgate, Gareth Southgate, woodburn, Rice, Hazard( hatari), Redman, Grealish, nk mbona huoni ubaya wake?
Hapa Burundi kwa majirani zetu majina yao ukisoma kwa Kiruri, Kijita au Kikwaya ni Matusi/ Viungo vya Siri ukienda kwa Bondeni/ Afrika Kusini majina yao ni taabu kuyatamka. Ebu fikiria nje ya Sanduku na utoke huku Utumwani ulikojifungia!