Kindness_cu
Member
- Dec 29, 2022
- 96
- 151
Wanaume siku hizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake, mwanaume kabisa unakaa kijiweni unamjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike huo ni ujinga.
Mwanaume mzuri hanaga mambo mengi, haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali.
Pungezi hizi tabia some of men not all men, some of you are so good.
Mwanaume mzuri hanaga mambo mengi, haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali.
Pungezi hizi tabia some of men not all men, some of you are so good.