Baadhi ya wanaume mnapaswa Kubadilika

Baadhi ya wanaume mnapaswa Kubadilika

Kindness_cu

Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
96
Reaction score
151
Wanaume siku hizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake, mwanaume kabisa unakaa kijiweni unamjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike huo ni ujinga.

Mwanaume mzuri hanaga mambo mengi, haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali.

Pungezi hizi tabia some of men not all men, some of you are so good.
 
Wanaume sikuizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake mwanaume kabisa unakaa kijiweni una mjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike uho ni ujinga mwanaume mzuri anaga mambo mengi haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali pungezi hizi tabia some of man not all man som are so good
👋👋👋👋👋👋👋🧑
 
Wanaume sikuizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake mwanaume kabisa unakaa kijiweni una mjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike uho ni ujinga mwanaume mzuri anaga mambo mengi haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali pungezi hizi tabia some of man not all man som are so good
Sema umekutana na kimarioo
 
Wanaume sikuizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake mwanaume kabisa unakaa kijiweni una mjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike uho ni ujinga mwanaume mzuri anaga mambo mengi haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali pungezi hizi tabia some of man not all man som are so good
Pole kwa yaliyokukuta hili jiji ulilishambulia kwa Pupa, huo ni wimbo wa msanii P The MC sijasema mimi

P The MC - Huna Jipya
 
Wanaume sikuizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake mwanaume kabisa unakaa kijiweni una mjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto  wakike  uho ni ujinga mwanaume mzuri  anaga mambo mengi haongei sana wala hana muda  wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka  ata ukija na magari sikubali  pungezi hizi tabia some of  man not all  man  som are so good
Jifunze walau basi kuandika vema na kupangilia hoja yako vizuri. Weka nukta au mkato panapostahili.

Nimehighlight baadhi ya maneno ambayo ulipaswa kuyaweka vizuri kwa namna ya kueleweka.
 
Jifunze walau basi kuandika vema na kupangilia hoja yako vizuri. Wela nukta au mkato panapostahili.

Nimehighlight baadhi ya maneno ambayo ulipaswa kuyaweka vizuri kwa namna ya kueleweka.
Mh sidhani kama ni muhimu ujumbe umeeleweka inatosha
 
Wanaume sikuizi mmekuwa wambea sana kuliko wanawake mwanaume kabisa unakaa kijiweni una mjadili mwanamke au unataka kushindana na mtoto wakike uho ni ujinga mwanaume mzuri anaga mambo mengi haongei sana wala hana muda wakuzozana lakini mwanaume una kuwa na gubu nani atakutaka ata ukija na magari sikubali pungezi hizi tabia some of man not all man som are so good
Aibu nimeona mimi.
Kweli huyo aliyekuoenda apewe zawadi.
Mwanamke wa hovyo hovyo sana
 
Back
Top Bottom