Baadhi ya wanawake facebook ni matapeli

Baadhi ya wanawake facebook ni matapeli

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Leo nikiwa naendelea kusafu FB, mara nikapokea ombi la urafiki kwa binti mmoja. Mara baada tu ya kumkubali maongezi yalikuwa hivi.

Binti. Hi
Mimi. Hi mambo
Binti. Unapatikana wapi
Mimi. Napatikana Dar
Binti. Mimi napatikana Arusha ila nyumbani Dar.
Mimi. Okay. gud
Binti. Sikia basi nitumie elfu mbili kwenye mpesa ili tuchati kwa watsap saivi ntakua ofline.
Mimi. Hilo haliwezekani. Kwani mimi ndio nimekwambia ninashida na wanawake sana.
Binti. Okay
Mimi. Mnaacha kufanya kazi mnawaza kufanya utapeli wa kwasababu mmepewa papuchi.
Mimi. Hivi hamwigi mifano kwa kina Shishi na akina Zuchu wanavyojituma kutafuta. Mtategemea hizo papuchi mpaka lini.
Binti. Fara we kwanini ninyi msijilinganishe na akina mondi.
Mimi. Tafuta jitume achana na mambo yakutegemea papuchi.
Mimi. Nikaenda kwenye profile yake nika unfriend haraka haraka.

Kama yupo humu ndani ujumbe umefika.

Najua kuna watu watabeza nikisema elfu 2. Hawa matapeli wa Facebook wanatumia akaunti nyingi. Anachofanya anaomba elfu mbili kwa watu zaidi ya 50 kwa siku. Zidisha hapo ni sh ngapi. Na hiyo ndio hesabu yake kila wiki. Hivyo ndivyo wanavyofanya, huyu sio kwanza mimi huyu ni wa nne.
 
2000 pekee ndo imekuleta mbio kufungua siridi? dah! huyo wala si tapeli alikua na shida ya vocha tu ungemsaidia mkuu, matapeli wanamitego mikali then unapoingia wanakupiga pesa ndefu na sio kibuku mbili.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Kwahiyo baada ya yeye kutambulishwa anakaa Dar ndo akamwomba 2000 hata mm cmpi.
Alikua anazuga tu. Ni matapeli tu wa facebook wanatumia uzuri wao kutapeli watu facebook. Wanawake akili zao fupi sana. Yaani hapo alishapiga hesabu kwamba nikiomba elfu 2 kwa watu 50 kwa siku nina laki moja hapo Masha yanasonga.
 
Alikua anazuga tu. Ni matapeli tu wa facebook wanatumia uzuri wao kutapeli watu facebook. Wanawake akili zao fupi sana. Yaani hapo alishapiga hesabu kwamba nikiomba elfu 2 kwa watu 50 kwa siku nina laki moja hapo Masha yanasonga.
Waendelee kujaribu bahati yao
 
Wanawake wa sasa wamekaa macho juu kuna dada namfahamu kabis anamexa ARV , kila anayerusha pini anamkubali ... Na hasisitizi kuvaa kondomu ... Mech zake mchana ... Yupo fb na jf wale wapenda vitonga hali ngumu mitaani ndio maana wengine wanauza mpk video za ngono ..Tuwena nidhamu kwenye hela vinginevyo tutapiga mack time sana kwenye uchumi
 
Mbaya Sana hii anajita Nani nimpatie elfu kumi,au anipatie namba nimunge bando la mwezi la 25 elfu kiongozi
 
Hawa wahuni ndiyo wanao tuletea matatizo kwenye jamii
Wanawake na wanaume wote wanauza na kununua ngono
Shenzi kabsaa
Wanawake wa sasa wamekaa macho juu kuna dada namfahamu kabis anamexa ARV , kila anayerusha pini anamkubali ... Na hasisitizi kuvaa kondomu ... Mech zake mchana ... Yupo fb na jf wale wapenda vitonga hali ngumu mitaani ndio maana wengine wanauza mpk video za ngono ..Tuwena nidhamu kwenye hela vinginevyo tutapiga mack time sana kwenye uchumi
 
nakuunga mkono hoja ndugu yangu mademu type hiyo wapo wengi san, mi kuna 1 yaan tumeanza salamu tu akaniambia ana njaa anaomba nomtumie 10,000 nikatemana naye chapu
 
Alikua anazuga tu. Ni matapeli tu wa facebook wanatumia uzuri wao kutapeli watu facebook. Wanawake akili zao fupi sana. Yaani hapo alishapiga hesabu kwamba nikiomba elfu 2 kwa watu 50 kwa siku nina laki moja hapo Masha yanasonga.

Wengi ni madume mzee, sema tu akili hawana ila ni mbinu nzuri ya kupiga pesa!
 
Back
Top Bottom