Sasa wao upanya road wao ni upi wakati hawamshikii mtu panga na anazichomoa mwenyewe kwenye wallet?!panya road nia zao mbaya ni pamoja na kuiba, kupora, kusumbua jamii na kuuwa. lakini panya road wanafanya hivyo kwa direct way. yani watakuwa presentable kwa kile kibaya wanachofanya.
najiuliza...
hivi hawa wanawake wa siku hawawezi kuwa panya road wanaofanya kazi undercover kama wale c i a?
yani mwanaume unaibiwa, unatapeliwa, unasumbuliwa na ukizingua sana unaweza kuwahishwa mbele za haki. huo sio upanya road lkn ni inderect way?
wanawake wa sasa ebu acheni kazi za upanya road (undercover) wanaume tuna makuzudi makubwa sana hapa duniani.
Paka road wapo wapi mpaka panya road wanazaliana kiasi hiki?panya road nia zao mbaya ni pamoja na kuiba, kupora, kusumbua jamii na kuuwa. lakini panya road wanafanya hivyo kwa direct way. yani watakuwa presentable kwa kile kibaya wanachofanya.
najiuliza...
hivi hawa wanawake wa siku hawawezi kuwa panya road wanaofanya kazi undercover kama wale c i a?
yani mwanaume unaibiwa, unatapeliwa, unasumbuliwa na ukizingua sana unaweza kuwahishwa mbele za haki. huo sio upanya road lkn ni inderect way?
wanawake wa sasa ebu acheni kazi za upanya road (undercover) wanaume tuna makuzudi makubwa sana hapa duniani.
Panya Road nia zao mbaya ni pamoja na kuiba, kupora, kusumbua jamii na kuuwa. lakini panya road wanafanya hivyo kwa direct way. yani watakuwa presentable kwa kile kibaya wanachofanya.
Najiuliza...
Hivi hawa wanawake wa siku hawawezi kuwa panya road wanaofanya kazi undercover kama wale CIA?
Yaani mwanaume unaibiwa, unatapeliwa, unasumbuliwa na ukizingua sana unaweza kuwahishwa mbele za haki. huo sio upanya road lkn ni inderect way?
wanawake wa sasa ebu acheni kazi za upanya road (undercover) wanaume tuna makuzudi makubwa sana hapa duniani.
🪒🪒Sasa wao upanya road wao ni upi wakati hawamshikii mtu panga na anazichomoa mwenyewe kwenye wallet?!
Malizia ulichokiandika! [emoji848][emoji848][emoji848]