Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana
Hii ni Id ya kike na ni kongwe hapa jf.
 
Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ko mtoa mada nidume lakimasai kabisa
 
Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana
Umevurugwa wewe!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] !!!!umia na maisha yako etiii!ya kwangu hatakuhusu
 
Mnanijua nyie au mmevurugwa tuu?nyie wanaume kweli au?
Hebu toeni upuuzi wenu hapaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tutawataja na wengine we subiri waje waje hapa,kwa mimi ninavyoijua jf ni ngumu wanawake kujaa humu.
Humu madume mengi yanajiita majike toka kitambo subirini siku yao yajaa
 
Hahahaaaa.....yaani wewe mwenzio so bora atapeli tu eehh
Hapana, huo hajauongelea mtoa mada. Hutapeli huu na uendelee milele as long as haumtapeli mwanamke mwenzio.
Lakini kweli maendeleo na utandawazi vimefanga vingi vionekane lakini pale kariakoo kuna siku mmeshuhudia Dada kakamatwa jamani kaiba elf10 loohh nilijiskia vibaya
Mambo mengi sasa hivi tunayaona kama mageni ni kwavile tu hakukuwa n autandawazi hivyo taarifa hazikusambaa. Wanasema hakuna jipya chini ya jua.
 
Ni kweli na tulivyo na kaunafiki ka asili,, halafu awe tapeli ebwana ndio bora ukutane na koboko
Dear sio humu jamani kwa sasa wanawake matapeli jamani mpk balaa...yaani ile hofu ya Mungu imeisha kabisaa
 
Umevurugwa wewe!!![emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] !!!!umia na maisha yako etiii!ya kwangu hatakuhusu
Hahah kwanini lakini...Nitarudi tena baadae[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana
Jamaa ni punga kumbe..ndio.maana kuna sehem anaonesha ni mwanaume na sehemu ni mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…