Baadhi ya wanawake siku hizi ni wezi na matapeli

Dah,nimeumia sana rohoni(sio kwasababu ya mada lahasha ni kwasababu ya mtoa mada,yaani mwanaume mzima kujijumlisha kuwa na wewe ni mwanamke)
Hata kama wewe ni shoga lakini siuna mboo?acha mambo zako bhana
Kijana hebu muache huyu mdada na turud kwenye mada husika
 
Hakukuwa na hayo madudu?
Weeee!!acha kabisaa!! Jamani tulikua tunaibiana kaahh!kuna siku niliibiwaga skini taiti mpyaa nusu nilichongaa mpk baasi
 
Wanaume matapeli wa mapenzi
 
Siku hizi wanamtindo yan ukiwa unachat nae yan baby najikia kuumwa tumbo au kichwa....apo ujue andaa pesa ya kutuma au utoke nduki.
 
Mwenza kwa hiyo ilikuwa unaiba? Tabia mbaya hiyo nilikuwa na rafiki yangu anaitwa flora very descent, mpolee ila alikuwa anaiba maji balaa yaani alikuwa ni balaa
Hahahaaaa!!!maji watu wanaiba mpk chupi
 
Mwenza kwa hiyo ilikuwa unaiba? Tabia mbaya hiyo nilikuwa na rafiki yangu anaitwa flora very descent, mpolee ila alikuwa anaiba maji balaa yaani alikuwa ni balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuiba maji kipindi cha shida ya maji[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…