Baadhi ya wanawake siku hizi wamebadilika...!

Nguvu moja

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
3,371
Reaction score
2,713
Ukweli ndio huo atakaekasilika sina habari nae na atakaenichukia sina mpango nae...

Baadhi yao wamekaa kazi kudanga na kuvuruga ndoa za wenzao kazi yao kubwa kutoa vishawishi miongoni mwetu sisi kwa akina baba.

Ndio maana ndoa nyingi siku hizi zinavunjika na azidumu kwa sababu ya hii mikitu kutoka miongoni mwao akina dada wadangaji na mavazi yao ya kimitego mitego wengine kufikia kuonyesha mpaka mapaja nje na michachandu mwa mwa mwaaa! Nje nje tena wengine wanawafanyia makusudi kabisa hata mashemeji zao.

Huku mnakoelekea siko kabisa wanawake
Narudia tena kusema hapa sijamtaja mtu na wala sijamsema mtu... Kama wapo wenye tabia hii Naombeni muache mara moja ukikasilika kasilika na ukichukia chukia ndio tutajua tabia yako ndio ilivyo...

Nb: watoto wa mtaani wanaongezeka kwa kukosa huduma na malezi bora kutoka pande zote mbili kwa baba na mama unamkoseha elimu bora nyumbani huduma ya chakula nk.inapungua chanzo uhuni na udangaji matokeo yake kusambaratisha ndoa za wenzenu

NAWASILISHA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua mke kwa miaka 8
Nimekufanyia yote yanayopaswa mke kumfanyia Mumewe
Nimekutunzia wadogo zako na kuhitimu elimu zao chini ya uangaliz wangu,mwingine akapata kazi na mwingine anaendesha biashara ya familia
Nikakuzalia watoto
Alafu leo unakwenda kwa wadangaji, my friend ukienda we nenda nyuma ya kisogo changu lakini siku ukienda mbele ya uso wangu tutagawana chaga wewe ya kichwani mimi ya miguuni
Nitavumilia shida,nitavumilia maradhi nitavumilia hali ngumu lakini si umalaya mbele ya macho yangu
Ikifika hatua hiyo basi itakua "Bora yeshe"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kwa hisia sana...
Pole mama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mikwara tu hii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…