Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
PICHA YA BI. CHIKU BINT SAID KISUSA, BI. TITI MOHAMED, BI. TATU BINT MZEE, JULIUS NYERERE NA AKINA MAMA WENGINE
Mmoja wa wasomaji wangu amenitumia picha hiyo hapo chini ya akina mama wazalendo wanachama wa mwanzo wa TANU hao niliowataja hapo juu.
Kulia ni Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed, kushoto ni Bi.Tatu bint Mzee na huyo katikati ni Julius Kambarage Nyerere.
Hii picha ilipigwa Uwanja wa Ndege wa Dar-es-Salaam akina mama hao walipokuwa wanamsindikiza Mwalimu safari yake ya kwanza UNO mwaka wa 1955.
Picha hii ni bora sana kuliko ile mliyoizoea ambayo nimekuwa nikiitumia.
Kaniletea na picha nyingine ambayo In Shaa Allah nitaiweka hapa wakati muafaka.
Namshukuru sana huyu ndugu yangu.
Mmoja wa wasomaji wangu amenitumia picha hiyo hapo chini ya akina mama wazalendo wanachama wa mwanzo wa TANU hao niliowataja hapo juu.
Kulia ni Bi. Chiku bint Said Kisusa, Bi. Titi Mohamed, kushoto ni Bi.Tatu bint Mzee na huyo katikati ni Julius Kambarage Nyerere.
Hii picha ilipigwa Uwanja wa Ndege wa Dar-es-Salaam akina mama hao walipokuwa wanamsindikiza Mwalimu safari yake ya kwanza UNO mwaka wa 1955.
Picha hii ni bora sana kuliko ile mliyoizoea ambayo nimekuwa nikiitumia.
Kaniletea na picha nyingine ambayo In Shaa Allah nitaiweka hapa wakati muafaka.
Namshukuru sana huyu ndugu yangu.