Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenyewe una matatizo ya akili hujitambui kama hao wanyama na ndege! 🤣🤣Habari zenu wana jamifourm!
Leo nimeona niwaulize kuhusu hili.
Nimeshuhudia baadhi ya wanyama kama Kuku ,mbwa nk, wakipigana na twasira yao wenyewe kwenye kioo.
Je ni kwa sababu gani? Hawajitambui au wana matatizo ya akili?
Ni tabia tu kama za binadamu za kuzungumza wenyewe halafu kuna wale wa tiktok wanaojirikodi wakibinua mdomo. Wapo pia wanaojitazama kwenye kioo na kuanza kubishana na taswira zao kuhusu jambo fulani.Habari zenu wana jamifourm!
Leo nimeona niwaulize kuhusu hili.
Nimeshuhudia baadhi ya wanyama kama Kuku ,mbwa nk, wakipigana na twasira yao wenyewe kwenye kioo.
Je ni kwa sababu gani? Hawajitambui au wana matatizo ya akili?
Mbona wapo hata watuwa hivyo humu?Habari zenu wana jamifourm!
Leo nimeona niwaulize kuhusu hili.
Nimeshuhudia baadhi ya wanyama kama Kuku ,mbwa nk, wakipigana na twasira yao wenyewe kwenye kioo.
Je, ni kwa sababu gani Hawajitambui au wana matatizo ya akili?