Baadhi ya Wasanii waanza kueleza mambo kupitia Vipaji vyao

Baadhi ya Wasanii waanza kueleza mambo kupitia Vipaji vyao

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Angalia Katuni hii halafu Toa Maoni yako

FB_IMG_1687770784305.jpg


Tahadhari : Tumieni lugha ya Staha .
 
Serikali ikiwa kama kibaraka na muwakilishi wa kamati mwanachi mjitahidi kukwepa na kuiless mikono yake Kuja kwenye maisha yako.
FB_IMG_16873348701757619.jpg
 
download (1).jpg
Mukumbuke na haya
Si Waarabu tuu, Bali Wazungu waliwatia Utumwani ,tenea utumwa wa Kudumu.
Maana Hata Mifumo ya elimu ni ya kwao.
Waarabu ni wachovu kama Sisi Waafrika, isipokuwa wao kidogo akili zao zimefunguka , sisi bado Tumelala.
Wacha wabunye .
 
Mbarawa yuke mbele kabisa amembeba mwarabu🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom