Baadhi ya watoa huduma hasa wanawake customer service zao sio nzuri

Baadhi ya watoa huduma hasa wanawake customer service zao sio nzuri

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Hivi ni mimi tu sipendi kuhudumiwa na wanawake ofisi za umma au na wenzangu mpo kama mimi?

Binafsi nikikutana na mwanamke ofisi ya umma au hata baadhi ya ofisi binafsi hasa wanaotoa customer service huwa huwa navunjika moyo sana.

Watoa huduma wengi hasa wakike Tanzania wana customer service mbovu kupitiliza, ni kama vile wanalazimishwa kuhudumia wateja mpaka unajiuliza huyu mtu ana hasira gani nami mteja? Unashindwa kuelewa!

Nikiingia ofisi ya umma kama nina shida isiyo ya haraka sana na siku hiyo watoa huduma wote nikakuta wanawake huwa nahairisha naondoka ni bora nihudumiwe na mwanaume mwenzangu sio mwanamke.

Wengi hawajui kabisa kuhudumia watu katika ofisi za umma kuanzia kuelekeza mpaka majibu yao, mara nyingi sana nimekorofishana nao

Ni vyema wakajirebisha.
 
Unakuta wengine wapo busy na simu na umbea wa kupiga stories mbili tatu na wenzake kuliko kuhudumia wateja unajiuliza huyu mtu anajitambua kweli yupo wapi ?
 
Hivi ni mimi tu sipendi kuhudumiwa na wanawake ofisi za umma au na wenzangu mpo kama mimi?

Binafsi nikikutana na mwanamke ofisi ya umma au hata baadhi ya ofisi binafsi hasa wanaotoa customer service huwa huwa navunjika moyo sana.

Watoa huduma wengi hasa wakike Tanzania wana customer service mbovu kupitiliza, ni kama vile wanalazimishwa kuhudumia wateja mpaka unajiuliza huyu mtu ana hasira gani nami mteja? Unashindwa kuelewa!

Nikiingia ofisi ya umma kama nina shida isiyo ya haraka sana na siku hiyo watoa huduma wote nikakuta wanawake huwa nahairisha naondoka ni bora nihudumiwe na mwanaume mwenzangu sio mwanamke.

Wengi hawajui kabisa kuhudumia watu katika ofisi za umma kuanzia kuelekeza mpaka majibu yao, mara nyingi sana nimekorofishana nao

Ni vyema wakajirebisha.
Customa care kwa ofisi za umma Tanzania nzima ni poor awe mwanamke au mwanaumme, wale watu wanajiona wamefika kabisa, una bahatika tu kupata alio staarabika, ndo maana wakitabika baada ya kustaafu siwaoneagi huruma hao watu wanatesa sanaaa........
 
Customa care kwa ofisi za umma Tanzania nzima ni poor awe mwanamke au mwanaumme, wale watu wanajiina wamefika kabisa una bahatika tu kupata alio staarabika, ndo maana wskitabika baada ya kustaafu siwsoneagi huruma hao watu wanatesa sanaaa.
Ila wanawake wamezidi kuna mmoja ilibaki kidogo nimlambe makofi kisa ujinga ujinga wake analeta ofisi za umma.

Sijui vile viti vina wachanganya akili wanakua kama wehu ?
 
Karibu mjini....
Ila kwasasa tuna msiba mzito huku Goba, kuna msukuma mwenzetu ashafanya yake na beto laivu
 
Ila wanawake wamezidi kuna mmoja ilibaki kidogo nimlambe makofi kisa ujinga ujinga wake analeta ofisi za umma.

Sijui vile viti vina wachanganya akili wanakua kama wehu ?
Idara gani hiyo usije okawa ulitaka kumchapa mualimu wa watu bure wale wana stress mishahara midogo kausha damu imewabana mazingira ya kazi ya hovyo laxima wakupite kama hawakuoni
 
Ni wakati sasa serikali kuachana na ajira za kudumu. Wawape waajiriwa mikataba hata ya miaka mitano mitano.

Sekta binafsi ukiwa na mkataba miaka mitatu ni mingi sana. Lazima ujali kazi yako.

Imagine mtu ina kataba la miezi 6 au mwaka halafu ulete nyodo. Thubutu.
 
Back
Top Bottom